Obado na wenzake wapatikana na hatia ya kumuua Sharon Otieno
Aliyekuwa Gavana wa Migori Zachary Okoth Obado, msaidizi wake Michael Oyamo na aliyekuwa karani wa Kaunti ya Migori Caspal Obiero wamepatikana na hatia ya kumuua mwanafunzi wa chuo kikuu Sharon Otieno mwaka wa 2018. Akitoa uamuzi wake, Jaji wa Mahakama Kuu Cecilia Githua alisema upande wa mashtaka umethibitisha bila shaka kwamba watatu hao walishirikiana kupanga na kutekeleza mauaji hayo ya kikatili.

▶︎
Familia ya Sharon Otieno yasema haki hatimaye imetendeka

▶︎
CITIZEN NIPASHE ~ JULY 23, 2026

▶︎
Albert Ojwang's Widow Reveals How Politicians Used Family To Hoodwink Kenyans, Then Dumped Them.

▶︎
Kesi ya Sharon Otieno yafikia mwisho huku Obado na wenzake wakihukumiwa kwa mauaji

▶︎
The rise and fall of Okoth Obado

▶︎
Afisa wa ANU azuiliwa kwa tuhuma za wizi wa Sh60 milion

▶︎
Man Breaks Down in Tears After Court Convicts Okoth Obado of Sharon Otieno's Murder

▶︎
Angela Mwadumbo azungumzia kesi ya Obado, washukiwa 2 waliopatikana na hatia ya kumuua Sharon Otieno

▶︎
Sharon Otieno apata haki miaka 8 baada ya mauaji yaliyotikisa Kenya

▶︎
Damu ya hawa Watoto iko kwa Mikono yako Kasongo! Ol Kalou Mp Elect Kamau Ngotho Blasts Ruto.

▶︎
''Hatutaki wakamba wakae nje ya Serikali, waliunga Moi, pia sisi tunataka kuwaunga '' Farouk Kibet

▶︎
Obado, Oyamo and Obiero guilty of Sharon Otieno's murder

▶︎
Fahamu zaidi kuhusu shinikizo la damu

▶︎
Trump threatens to strike Houthis after attacks on Saudi tankers in Red Sea

▶︎
SHOCKING VERDICT: Okoth Obado & Oyamo Found GUILTY of Sharon Otieno's Murder!

▶︎
CS WYCLIFFE OPARANYA: People are being Unfair & Unjust!’ – Oparanya Defends Sifuna and Orengo

▶︎
Ni miaka minane tangu washukiwa wa mauaji ya Sharon Otieno kufunguliwa mashtaka

▶︎
Sharon Otieno's family welcomes Obado conviction

▶︎
Kenya Kwanza yamtahadharisha Kalonzo kuhusu upinzani

▶︎
