Kenya Kwanza yamtahadharisha Kalonzo kuhusu upinzani
Viongozi wa Kenya Kwanza sasa wamemtahadharisha kinara wa Wiper, Kalonzo Musyoka, dhidi ya kuendelea kujihusisha na upinzani wakisema asipochunga ataachwa nje. Wakizungumza Makueni katika hafla ya kisiasa, viongozi hao vilevile walimkemea aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua kwa kile walichosema ni kulitawanya taifa kwa misingi ya kikabila. Wakati huo huo, viongozi wa ODM pia walirindima siasa za kumuunga mkono Rais William Ruto jijini Nairobi.

▶︎
"Stop Confusing Kenyans! Kama Ni Wanaume, Waresign UDA!" Kioni BLASTS Kang'ata & Ndindi Nyoro

▶︎
Obado, Oyamo and Obiero guilty of Sharon Otieno's murder

▶︎
💥 SHOCKING REVEAL! Gachagua Finally Exposes Why Mt Kenya MUST Produce Kenya's 2027 President Lee M

▶︎
Senator Mandago and co-accused acquitted in Ksh 1.1 billion scholarship case

▶︎
Sharon Otieno's family welcomes Obado conviction

▶︎
The rise and fall of Okoth Obado

▶︎
Rigathi Gachagua asema matokeo ya Ol Kalou ni kionjo tu

▶︎
WIPER PARTY GETS AUCTIONED AS UHURU REMOVES RESOURCES AND DIRECTS THEM TO LINDA MWANANCHI!

▶︎
Albert Ojwang's Widow Reveals How Politicians Used Family To Hoodwink Kenyans, Then Dumped Them.

▶︎
Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

▶︎
CATE WARUGURU SHOCKS GACHAGUA AS HE LECTURES PRESIDENT RUTO LIKE A KID IN LAIKIPIA!!

▶︎
Fresh petition filed over Kenya Re management

▶︎
Four mining sites indefinitely closed as Kilimapesa rescue operation ends

▶︎
Hatima ya kisiasa ya Okoth Obado yafikia kikomo

▶︎
Kenya Kwanza leaders urge Kalonzo to quit opposition and join President Ruto ahead of 2027 polls

▶︎
Gachagua vows police purge if elected President

▶︎
Methu gets ANGRY while addressing Ruto in front of Gachagua at Ol Kalou Burial after By-election

▶︎
Ruto asema upinzani hauna ajenda ya maendeleo

▶︎
SIFUNA'S BIGGEST WIN YET! Tim Wanyonyi Backs Him As Pauline Njoroge Quits Jubilee

▶︎
