Makala: Nini hatima ya hali ya usalama na M 23 Mashariki mwa DRC ?

#drcconflict #m23 #rdc Wachambuzi wa mambo wanaona kuwa waasi wa M 23 wanaendelea kujiimarisha zaidi kisiasa na kiuchumi,  katika maeneo wanayodhibiti, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, licha ya kuwepo kwa mkataba wa Washington uliokubaliwa nchini Marekani kusitisha vita.