#🔴LIVE: SAMIA, EL-SISI WANAHUTUBIA BAADA YA MAZUNGUMZO YA KIHISTORIA
Fuatilia mubashara kupitia TMC NEWS mapokezi rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Abdel Fattah El-Sisi, katika Ikulu ya Ikulu, Dar es Salaam, Ziara hii ya kihistoria inalenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na Misri katika sekta mbalimbali, zikiwemo biashara, uwekezaji, nishati, miundombinu, kilimo, elimu, afya, utalii na maendeleo ya teknolojia. Viongozi hao wanatarajiwa kufanya mazungumzo ya faragha na ya pamoja, kushuhudia utiaji saini wa mikataba ya ushirikiano, pamoja na kutoa taarifa rasmi kwa vyombo vya habari. 📺 Usikose matangazo haya ya moja kwa moja kupitia TMC NEWS. 👍 Like | 💬 Comment | 🔁 Share ▶️ Subscribe kwenye TMC NEWS na washa kengele (🔔) ili upate taarifa zote muhimu kwa wakati. 📢 TANGAZA NASI! Fikisha biashara, huduma au taasisi yako kwa maelfu ya watazamaji kupitia TMC NEWS. NEWS | Shaping The Future Asante kwa kufuatilia TMC NEWS. Subscribe, Like na Share ili kuendelea kupata habari za uhakika, matangazo ya moja kwa moja na uchambuzi wa kina kutoka Tanzania na duniani. 🔔 Washa arifa (Notifications) ili usipitwe na taarifa muhimu. 📢 Kwa matangazo, ushirikiano na maoni: 📧 [email protected] 📞 +255 674 075 414 🌐 Tufuatilie kwenye mitandao yote ya kijamii: @tmcnewsmedia #TMCNews #ShapingTheFuture #BreakingNews #TanzaniaNews #LiveNews #TMCNEWS #Live #Samia #ElSisi #Tanzania #Egypt #Ikulu #Chamwino #Dodoma #Diplomasia #Africa #Ushirikiano #BreakingNews #TanzaniaNews #Misri #LiveBroadcastTMC#TMCNEWS #Live #Samia #ElSisi #Tanzania #Egypt #Africa #Diplomacy #BreakingNews #زيارة_رسمية #الرئيس_السيسي #تنزانيا #مصر #بث_مباشر

Rais Samia, na Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi Wakiongea na Waandishi Leo Julai 18, 2026

Perezida Kagame yavuze kuri Vibes mu rubyiruko, abajya mu mwuka, RDC, Amerika n’ibindi

🔴 #LIVE: KUMEKUCHA! LHRC, TLS NA DKT. SLAA WAMSHITAKI KATAMBI, WAPINGA KATAZO LA MIKUTANO YA HADHARA

RAIS DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MARA BAADA YAKUMPOKEA MGENI WAKE

PLAS KAOSI, Ngushtica e FERRIT në FLAKE, Trump jep ULTIMATUMIN, Irani nis HAKMARRJEN

LIVE: HECHE ATOA KAULI NZITO: “LISSU ATATOKA, ATATUONGOZA!” AFUNGUKA SAKATA LA MAFUTA

I have been out there working to ground my family, now I am living in isolation.

Askofu Glorious Shoo: Tusijenge Taifa la Wanafiki | Agusia Oktoba 29, Umuhimu wa Matumaini kwa Taifa

🔴LIVE: RAIS SAMIA SAMIA ANAFUNGUA MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAWAKILI WA SERIKALI, ARUSHA

MTOE MAGUFULI NI MIMI, DOTTO MAGARI, MWIJAKU NI MACHAWA TU, DAR HAKUNA MATAJIRI, WASUKUMA WANAJENGA

LIVE:RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RASMI RAIS EL-SISI IKULU, DAR ES SALAAM | 18 JULAI, 2026

ጠ/ሚ ዐቢይ አሕመድ በታሪካዊው የሀገራዊ ምክክር መክፈቻ ላይ ያደረጉት ሙሉ ንግግር

Anchor Media ብሔራዊ ምክክር ወይስ ብሔራዊ ስላቅ? በጎጃም ደጋ ዳሞት ሰሞኑን ምን ሆነ? የአብይ አህመድ ስጋትና ህወሀት፥ የተጋሩ ሰልፍ በአዲስ አበባ

H.E KAGAME YAVUZE UKO YATUNGUWE N’IGISUBIZO YAHAWE KU IYICWA RY’ABANYAMULENGE/INAMA YA BIRO POLITIKI

BALAA WAZIRI KATAMBI HANA PAKUTOKEA SAKATA LA ZUIO LA MIKUTANO/WADAU WAMKALIA KOONI AFUNGULIWA KESI

🔴#TBCLIVE: MKUTANO WA NNE WA URATHI WA MKAPA

U LIVE: SIMBA YAZIDI KUPITISHA PANGA / AZAM YAHAMIA KWA WACONGO/FRANCE VS ENGLAND KINAWAKA LEO

MAZUNGUMZO YA HECHE NA DIASPORA! APIGWA MASWALI KUHUSU CHADEMA NA MARIDHIANO

🔴 LIVE | MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI ANAUNGURUMA MUDA HUU...

