MAZUNGUMZO YA HECHE NA DIASPORA! APIGWA MASWALI KUHUSU CHADEMA NA MARIDHIANO
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Tanzania Bara), John Heche, amefanya mazungumzo na wanachama pamoja na wafuasi wa chama wanaoishi nje ya nchi (Diaspora), ambapo amejibu maswali mbalimbali kuhusu hali ya kisiasa nchini, mwelekeo wa CHADEMA na masuala yanayoendelea kujadiliwa ndani ya chama. Katika kikao hicho, Heche amefafanua msimamo wa CHADEMA kuhusu maridhiano, akajibu hoja za wakosoaji wake wa kisiasa na kueleza mtazamo wa chama kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu demokrasia, uongozi na shughuli za kisiasa nchini. TMC NEWS | Shaping The Future Asante kwa kufuatilia TMC NEWS. Subscribe, Like na Share ili kuendelea kupata habari za uhakika, matangazo ya moja kwa moja na uchambuzi wa kina kutoka Tanzania na duniani. 🔔 Washa arifa (Notifications) ili usipitwe na taarifa muhimu. 📢 Kwa matangazo, ushirikiano na maoni: 📧 [email protected] 📞 +255 674 075 414 🌐 Tufuatilie kwenye mitandao yote ya kijamii: @tmcnewsmedia #TMCNews #ShapingTheFuture #BreakingNews #TanzaniaNews #LiveNews*#JohnHeche #CHADEMA #Diaspora #Siasa #Maridhiano #Demokrasia #Tanzania #TMCNews #TMCNewsTV

WILSON ORUMA APAGAWA NA USAJILI MPYA WA SIMBA/ BILA KUFICHA ASEMA YANGA WALIKUWA MABINGWA BASI TU

Askofu Glorious Shoo: Tusijenge Taifa la Wanafiki | Agusia Oktoba 29, Umuhimu wa Matumaini kwa Taifa

LIVE: HECHE ATOA KAULI NZITO: “LISSU ATATOKA, ATATUONGOZA!” AFUNGUKA SAKATA LA MAFUTA

🔴 #LIVE: KUMEKUCHA! LHRC, TLS NA DKT. SLAA WAMSHITAKI KATAMBI, WAPINGA KATAZO LA MIKUTANO YA HADHARA

Dk Nshala Aibua Mapya CHADEMA/Kifo Cha Dereva Wa Heche/Job Ndugai/Katambi/Awashangaa ACT Wazalendo

"NA HAO NI MABEBERU"?TANZANIA YAENDELEA KUWEKWA MTU KATI KULIKONI

🔴Live: Wana-Azaki Wanazungumza Juu ya Tamko la Jumuiya ya Madola

SAKATA LA POLEPOLE NA WENGINE WALIOTEKWA, WAZIRI KATAMBI AFUNGUKA "SERIKALI HAITEKI INAKAMATA"

BALAA WAZIRI KATAMBI HANA PAKUTOKEA SAKATA LA ZUIO LA MIKUTANO/WADAU WAMKALIA KOONI AFUNGULIWA KESI

RAFIKI WA MUUAJI AFUNGUKA TUKIO ZIMA LA MAUAJI MWANANYAMALA/ALIKUWA AKITAMKA SANA NENO NITAUA

MAPYA YAIBUKA DAVID KAFULILA AINGIA KWENYE 18 ATANDIKWA MASWALI MAZITO AJIBU

Profesa Lwaitama Azungumza Juu ya Tamko la Jumuiya ya Madola, Lissu Aachiliwe, Apinga Visingizio

"SISI SIYO MBUMBUMBU!" Dk. BANA AVUNJA UKIMYA KINACHOKWAMISHA MARIDHIANO; "CHADEMA HAIWEZI KUPUUZWA"

CHADEMA YOUTH ARE UNSTOPPABLE/SOUTHERN ZONE TOLD TO PREPARE/CONSTITUENCY LEADERS TO BE CALLED TO ...

"MIMI NAONA ALIKURUPUKA!" Dk. BANA AZUNGUMZIA TAMKO LA SERIKALI

"NI FAGIO LA MUNGU!" ASKOFU MWANAMAPINDUZI ATOA BOMU KUHUSU SAKATA LA HECHE

CHADEMA HAIJAKATAA MARIDHIANO, HATUENDESHWI NA WANAHARAKATI, HAKUHALALISHI KUFANYA JINAI

MARRY CHATANDA M/KITI WA UWT AMJIBU ANNA TIBAIJUKA LAKANI UKISIKILZA ALICHOKISEMA AIBU UTAONA WEWE

MBWADUKE: YANGA KUMNASA GUMEDE, NAMBA ZAKE ZINATISHA

