IRAN YAZIONYA UINGEREZA NA UFARANSA KUINGILIA USALAMA HORMUZ - "MTAWAJIBISHWA- HAPA SIO MAONYESHO"
IRAN YAZIONYA UINGEREZA NA UFARANSA KUINGILIA USALAMA HORMUZ - "MTAWAJIBISHWA- HAPA SIO MAONYESHO" @ONESMO SANGALALI - DAR CC; BAKARI MAHUNDU Iran imeionya vikali Uingereza na Ufaransa dhidi ya mpango wao wa kuongeza uwepo wa kijeshi katika Mlango wa Bahari wa Hormuz, ikisema eneo hilo si mahali pa mataifa yaliyo nje ya ukanda wa Ghuba kuonyesha nguvu zao za kijeshi. Tehran imesisitiza kuwa usalama wa njia hiyo muhimu ya kimataifa unapaswa kusimamiwa na nchi zinazopakana na Ghuba ya Uajemi, huku ikionya kwamba hatua yoyote ya kuingiza vikosi vya kijeshi vya mataifa ya nje inaweza kuongeza mvutano na kuhatarisha utulivu wa eneo hilo. ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

Maelfu ya wahamiaji wahama Afrika Kusini kufuatia chuki dhidi ya wageni huku maandamano yakichacha

Wagonjwa wa Gaza wahangaika kupata matibabu licha ya vita kusitishwa. Katika Dira ya Dunia TV.

NETANYAHU AVUNJA UKIMYA - "TRUMP SIO RAIS PEKEE DUNIANI ANAYEIUNGA MKONO ISRAEL" - AITAJA INDIA

UTURUKI NA ISRAEL PAZITO - ERDOGAN AENDELEZA MASHAMBULIZI YA MANENO MAKALI - NETANYAHU AJIBU

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

MANENO MAZITO ya RC CHALAMILA MBELE ya WAZIRI MKUU MWIGULU - AFICHUA KISA CHA VIJANA WAKE NYUMBANI

IRAN: MAELFU YA WAOMBOLEZAJI WAFURIKA TEHRANI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA AYATOLLAH KHAMENEI

WAZIRI MKUU APIGA MARUFUKU MIGAMBO KUSHIKILIA BODABODA KISA FAINI

Ugandan Army Chief Again Declares Love For Beyonce, Challenges Jay-Z | Firstpost Africa | N18G

WAZIRI KATAMBI ATOA UFAFANUZI WA KATAZO LA KUFANYIKA MIKUTANO YA HADHARA

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JULAI 05, 2026 - POLISI WAONYA WANAOHAMASISHA MAANDAMANO MITANDAONI

Wakenya 55 wanatarajiwa kurejea nchini baada ya ghasia Afrika Kusini

SABABU ZA PUTIN KUPIGANA PEKE YAKE UKRAINE BILA KUHITAJI MSAADA WA WASHIRIKA WAKE

''AMESEMA ANALIPWA MILIONI 5 WAKIFA WENGI ATALIPWA MILIONI 500'' - WAZIRI MKUU KUHUSU MAANDAMANO...

MARUBANI WA NDEGE ZA B-2 ZILIZOSHAMBULIA VINU VYA NYUKLIA VYA IRAN WAELEZA MAZITO/NI MISHENI NGUMU

England vs. DR Congo Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

HECHE AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA KWENYE MAZISHI YA DEREVA WAKE "HILI NI PIGO KUBWA KWANGU"

KAMANDA MKUU WA IRGC NA RAIS PEZESHKIAN MBELE YA JENEZA LA KHAMENEI WAKITOA HESHIMA ZA MWISHO

