KUMEKUCHA IKULU MAPYA YAIBUKA OFISI YA RAIS IKULU - ZANZIBAR

#tifutv WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS IKULU - ZANZIBAR Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Mhe Ali Suleiman Ameir amewataka viongozi na watumishi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao kuhakikisha kuwa inayaendeleza mazuri yaliyokuwa yakifanyika kabla ya kuhamia ofisi ya Rais ikulu. Waziri Mrembo ameyasema hayo huko Mazizini alipokuwa akijitambulisha rasmi kwa viongozi na wafanyakazi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao baada ya Mamlaka hiyo kuhamishwa kutoka WIZARA YA KATIBA, SHERIA, UTUMISHI NA UTAWALA BORA na kuja katika usimamizi wa OFISI YA RAIS IKULU. Mhe. Waziri amewataka wafanyakazi wa Mamlaka hiyo kuendeleza yale mazuri yaliyokuwa yakifanyika kabla ya kuhamia OFISI YA RAIS IKULU pamoja na kuboresha sehemu ambazo zilikua na changamoto za kiutendaji. Amesema kuwa Serikali ina mategemeo makubwa kutoka kwa Mamlaka hiyo, hivyo wafanyakazi wa Mamlaka watumie weledi wao katika kufikia malengo ya Serikali. Aidha Mhe. Waziri amesisita juu ya suala zima la kufanya kazi kwa uwazi ili kuleta tija katika mifumo mbali mbali ya kiserikali hususan katika suala zima la ukusanyaji wa mapato, ulinzi na uhifadhi wa taarifa muhimu za mitandao. Nae Katibu Mkuu OFISI YA RAIS IKULU nd. SALEH JUMA MUSSA amesisitiza juu ya suala zima la uzalendo kwa wafanyakazi, heshima baina ya wafanyakazi na ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Nd.SAID SEIF SAID amewashukuru viongozi hao wa OFISI YA RAIS IKULU kwa kufika katika ofisi ya Mamlaka kwa ajili ya kuzungumza na wafanyakazi na kuahidi kuyafanyia kazi yale yote aliyowaeleza.

OMO ATOA DARASA MBELE YA RAIS MWINYI NA DKT SAMIA HII NI HISTORIA KWA UPINZANI
▶︎

OMO ATOA DARASA MBELE YA RAIS MWINYI NA DKT SAMIA HII NI HISTORIA KWA UPINZANI

KIKWETE “NILIFOKEWA NA NYERERE SIKU YA KWANZA NAINGIA IKULU DSM”
▶︎

KIKWETE “NILIFOKEWA NA NYERERE SIKU YA KWANZA NAINGIA IKULU DSM”

HOTUBA YA RAIS SAMIA WAKATI WA KUAGA MWILI WA HAYATI ALHAJ MWINYI UWANJA WA AMANI ZANZIBAR
▶︎

HOTUBA YA RAIS SAMIA WAKATI WA KUAGA MWILI WA HAYATI ALHAJ MWINYI UWANJA WA AMANI ZANZIBAR

"Kaka Yako Alitumwa Kupiga Ikulu, Angefia Hapa Hapa" - RAIS MAGUFULI | Ikulu DSM
▶︎

"Kaka Yako Alitumwa Kupiga Ikulu, Angefia Hapa Hapa" - RAIS MAGUFULI | Ikulu DSM

| SUNDAY LIVE | BACK TO THE FRONTLINES | TONY GACHOKA
▶︎

| SUNDAY LIVE | BACK TO THE FRONTLINES | TONY GACHOKA

BREAKING: U.S. launches additional strikes on Iran as Strait of Hormuz standoff escalates
▶︎

BREAKING: U.S. launches additional strikes on Iran as Strait of Hormuz standoff escalates

KUMEKUCHA ZANZIBAR YAIMARISHA VITA DHIDI YA RUSHWA, ZAIDI YA BILIONI 5 ZAOKOLEWA
▶︎

KUMEKUCHA ZANZIBAR YAIMARISHA VITA DHIDI YA RUSHWA, ZAIDI YA BILIONI 5 ZAOKOLEWA

DKT. MWIGULU AALIKA WAFANYABIASHARA WA UFARANSA KUWEKEZA TANZANIA
▶︎

DKT. MWIGULU AALIKA WAFANYABIASHARA WA UFARANSA KUWEKEZA TANZANIA

Taarifa Mpya kutoka kwa Msemaji wa Ikulu ya Zanzibar - Charles Hilary..
▶︎

Taarifa Mpya kutoka kwa Msemaji wa Ikulu ya Zanzibar - Charles Hilary..

CHADEMA yatikisa nchi kwa kishindo yatuma makombora kwa serikali ya Rais samia yaanika kila kitu
▶︎

CHADEMA yatikisa nchi kwa kishindo yatuma makombora kwa serikali ya Rais samia yaanika kila kitu

NCHIMBI: TANZANIA YALENGA KUWA KITOVU CHA BIASHARA NA VIWANDA AFRIKA, AHIMIZA 'MADE IN TANZANIA'
▶︎

NCHIMBI: TANZANIA YALENGA KUWA KITOVU CHA BIASHARA NA VIWANDA AFRIKA, AHIMIZA 'MADE IN TANZANIA'

MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE IKULU DAR ES SALAAM
▶︎

MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE IKULU DAR ES SALAAM

RAIS MWINYI: MARIDHIANO NI NGUZO YA UMOJA NA MAENDELEO YA ZANZIBAR
▶︎

RAIS MWINYI: MARIDHIANO NI NGUZO YA UMOJA NA MAENDELEO YA ZANZIBAR

Stone Town, Zanzibar 🇹🇿 | 4K Walking Tour | Markets, Streets & Local Life
▶︎

Stone Town, Zanzibar 🇹🇿 | 4K Walking Tour | Markets, Streets & Local Life

MAADHIMISHO YA SIKU YA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA BARANI AFRIKA- 2026
▶︎

MAADHIMISHO YA SIKU YA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA BARANI AFRIKA- 2026

MHE. HEMED ATOA SIKU KUMI (10) KUANGAMIZWA AU KURUDISHWA ZILIPOTOKA BIDHAA ZILIZOPITWA NA WAKATI
▶︎

MHE. HEMED ATOA SIKU KUMI (10) KUANGAMIZWA AU KURUDISHWA ZILIPOTOKA BIDHAA ZILIZOPITWA NA WAKATI

MASHEHA WAPYA WAAPISHWA MKOWA WA KASKAZINI UNGUJA
▶︎

MASHEHA WAPYA WAAPISHWA MKOWA WA KASKAZINI UNGUJA

MKESHA WA MWENGE WA UHURU
▶︎

MKESHA WA MWENGE WA UHURU

BAADA YA IKULU, OMO ACT WAZALENDO AZUNGUMZA NA WAFUASI WAKE
▶︎

BAADA YA IKULU, OMO ACT WAZALENDO AZUNGUMZA NA WAFUASI WAKE

Amazing ideas from Cement for Your Garden - Tips DIY Garden Decorations
▶︎

Amazing ideas from Cement for Your Garden - Tips DIY Garden Decorations