#WhatsApp_mpya_+255767198493 #JifunzeKiingereza SOMO LA 15: Kiingereza cha kuongea

Katika somo hili utajifunza namna ya kutoa au kupokea agizo la kufanya au kutofanya kitu fulani, kwa mfano, "don't come, don't spend, stand up, just say something, sit down, keep quiet, keep time, don't lie to me, bring me a gift, have time" pamoja na matumizi ya neno "just" katika maagizo mbali mbali. PLAYLISTS: Jifunze Kiingereza (Masomo yote yako hapa):    • Jifunze Kiingereza   Kiingereza cha kuongea:    • Kiingereza cha kuongea   Chaneli hii ni maalum kwa ajili ya kuwasaidia wazungumzaji wa Kiswahili kujifunza Kiingereza kwa njia rahisi na bora. MAWASILIANO: WhatsApp: +255 675 333360 Facebook: Azari Eliakim Instagram: azarieliakim