#WhatsApp_mpya_+255767198493 #JifunzeKiingereza SOMO LA 20: Kiingereza cha kuongea

Katika somo hili utajifunza matumizi ya "can" ikiambatana na "I, you, we, they, he, she, it" katika sentensi za Kiingereza za kawaida, kukanusha na maswali na majibu. PLAYLISTS: Jifunze Kiingereza (Masomo yote yako hapa):    • Jifunze Kiingereza   Kiingereza cha kuongea:    • Kiingereza cha kuongea   Chaneli hii ni maalum kwa ajili ya kuwasaidia wazungumzaji wa Kiswahili kujifunza Kiingereza kwa njia rahisi na bora. MAWASILIANO: WhatsApp: +255 675 333360 Facebook: Azari Eliakim Instagram: azarieliakim