Mahakama Kuu ya Tanzania imemuachia huru Sheikh Issa Ponda
Sheikh Ponda ameachiwa huru mbele ya Jaji Johnson Mkasimongwa ambaye amesema anakubaliana na uamuzi wa Mahakama ya Morogoro kumuachia huru Sheikh Ponda katika kesi ya kutoa matamshi ya uchochezi. "Mahakama ya Morogoro haikukosea kumuachia huru Sheikh Ponda na mimi nakubaliana na uamuzi huo, hivyo namuachia huru,". Miongoni mwa hoja alizozitoa Jaji Mkasimongwa ni kwamba upande Jamhuri haikupaswa kumshtaki Sheikh Ponda kwa kosa lile la kuvunja amri ya Mahakama ya Kisutu bali ilitakiwa wamrudishe katika mahakama hiyo ili imchukulie hatua zaidi.

▶︎
Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

▶︎
🔴#LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO NA CHADEMA-KUHUSU KATIBA MPYA-TUME YA JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMAN

▶︎
SHEKHE PONDA AELEZA ALIVYOPIGWA RISASI MOROGORO BAADA YA KUIKOSOA SERIKALI "NILIPEWA KESI YA MAUAJI"

▶︎
HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

▶︎
MTOTO AMUUA BABA YAKE NA KUMZIKA CHUMBANI, AMEKIRI ALIYEENDA KUSEMA POLISI KAPOTEA

▶︎
NYUMBANI KWA RAIS WA NAMIBIA MAGOMENI DSM, MAJIRANI ALIOISHI NAO WAFUNGUKA "ALIOLEWA HAPA HAPA"

▶︎
Kifo cha kikatili cha Ali Mohammed Kibao | Mateso ya Kimyakimya na Sheikh Ponda | EP. 02

▶︎
Alichokisema, Sheikh Ponda, Baada ya Kuonana na Lissu

▶︎
DAKIKA 12 ZA MOTO!! SHEIKH PONDA ATAPIKA MAZITO KUHUSU MAALIM SEIF

▶︎
NI VITA YA MANENO ZAKA NA KAMWE ZANZIBAR, AZAM KUMPIGIA MAKOFI BACCA, KAMWE AJIBU AMETUMWA

▶︎
Sheikh Ponda Afunguka Mazito Mfumo wa Haki Jinai | "Hakuna Ubinadamu, Mtu Anaondolewa Utu"

▶︎
SHEIKH PONDA ISSA PONDA AKIELEZEA HARAKATI ALIZOFANYA SHEIKH AYUBU MUWINGE ENZI YA UHAI WAKE

▶︎
Kauli ya Sheikh Ponda Kuhusu Denti UDSM Aliyeuawa kwa Tuhuma za Ujambazi

▶︎
MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

▶︎
CHADEMA WAIBUKA NA JIPYA “KUDAI BILIONI 100”, JAJI AKUBALI HOJA ZAO AWATOSA SAID NA WENZIE

▶︎
"Bandit Who Killed General Rabe Is Known To Govt" — Tinubu In Panic Mode | Prof Yusuf

▶︎
MBUNGE WA ACT LIYEPIGA KURA YA 'NDIYO' BAJETI KUU, AFUNGUKA "KILA MMOJA ANAJUA ANAOWAWAKILISHA"

▶︎
SHEIKH PONDA ASHINDA KESI YA MADAI

▶︎
Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

▶︎
