Mahakama Kuu ya Tanzania imemuachia huru Sheikh Issa Ponda

Sheikh Ponda ameachiwa huru mbele ya Jaji Johnson Mkasimongwa ambaye amesema anakubaliana na uamuzi wa Mahakama ya Morogoro kumuachia huru Sheikh Ponda katika kesi ya kutoa matamshi ya uchochezi. "Mahakama ya Morogoro haikukosea kumuachia huru Sheikh Ponda na mimi nakubaliana na uamuzi huo, hivyo namuachia huru,". Miongoni mwa hoja alizozitoa Jaji Mkasimongwa ni kwamba upande Jamhuri haikupaswa kumshtaki Sheikh Ponda kwa kosa lile la kuvunja amri ya Mahakama ya Kisutu bali ilitakiwa wamrudishe katika mahakama hiyo ili imchukulie hatua zaidi.

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu
▶︎

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

🔴#LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO NA CHADEMA-KUHUSU KATIBA MPYA-TUME YA JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMAN
▶︎

🔴#LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO NA CHADEMA-KUHUSU KATIBA MPYA-TUME YA JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMAN

SHEKHE PONDA AELEZA ALIVYOPIGWA RISASI MOROGORO BAADA YA KUIKOSOA SERIKALI "NILIPEWA KESI YA MAUAJI"
▶︎

SHEKHE PONDA AELEZA ALIVYOPIGWA RISASI MOROGORO BAADA YA KUIKOSOA SERIKALI "NILIPEWA KESI YA MAUAJI"

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA
▶︎

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

MTOTO AMUUA BABA YAKE NA KUMZIKA CHUMBANI, AMEKIRI ALIYEENDA KUSEMA POLISI KAPOTEA
▶︎

MTOTO AMUUA BABA YAKE NA KUMZIKA CHUMBANI, AMEKIRI ALIYEENDA KUSEMA POLISI KAPOTEA

NYUMBANI KWA RAIS WA NAMIBIA MAGOMENI DSM, MAJIRANI ALIOISHI NAO WAFUNGUKA "ALIOLEWA HAPA HAPA"
▶︎

NYUMBANI KWA RAIS WA NAMIBIA MAGOMENI DSM, MAJIRANI ALIOISHI NAO WAFUNGUKA "ALIOLEWA HAPA HAPA"

Kifo cha kikatili cha Ali Mohammed Kibao | Mateso ya Kimyakimya na Sheikh Ponda | EP. 02
▶︎

Kifo cha kikatili cha Ali Mohammed Kibao | Mateso ya Kimyakimya na Sheikh Ponda | EP. 02

Alichokisema, Sheikh Ponda, Baada ya Kuonana na Lissu
▶︎

Alichokisema, Sheikh Ponda, Baada ya Kuonana na Lissu

DAKIKA 12 ZA MOTO!! SHEIKH PONDA ATAPIKA MAZITO KUHUSU MAALIM SEIF
▶︎

DAKIKA 12 ZA MOTO!! SHEIKH PONDA ATAPIKA MAZITO KUHUSU MAALIM SEIF

NI VITA YA MANENO ZAKA NA KAMWE ZANZIBAR, AZAM KUMPIGIA MAKOFI BACCA, KAMWE AJIBU AMETUMWA
▶︎

NI VITA YA MANENO ZAKA NA KAMWE ZANZIBAR, AZAM KUMPIGIA MAKOFI BACCA, KAMWE AJIBU AMETUMWA

Sheikh Ponda Afunguka Mazito Mfumo wa Haki Jinai | "Hakuna Ubinadamu, Mtu Anaondolewa Utu"
▶︎

Sheikh Ponda Afunguka Mazito Mfumo wa Haki Jinai | "Hakuna Ubinadamu, Mtu Anaondolewa Utu"

SHEIKH PONDA ISSA PONDA AKIELEZEA HARAKATI ALIZOFANYA SHEIKH AYUBU MUWINGE ENZI YA UHAI WAKE
▶︎

SHEIKH PONDA ISSA PONDA AKIELEZEA HARAKATI ALIZOFANYA SHEIKH AYUBU MUWINGE ENZI YA UHAI WAKE

Kauli ya Sheikh Ponda Kuhusu Denti UDSM Aliyeuawa kwa Tuhuma za Ujambazi
▶︎

Kauli ya Sheikh Ponda Kuhusu Denti UDSM Aliyeuawa kwa Tuhuma za Ujambazi

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI
▶︎

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

CHADEMA WAIBUKA NA JIPYA “KUDAI BILIONI 100”, JAJI AKUBALI HOJA ZAO AWATOSA SAID NA WENZIE
▶︎

CHADEMA WAIBUKA NA JIPYA “KUDAI BILIONI 100”, JAJI AKUBALI HOJA ZAO AWATOSA SAID NA WENZIE

"Bandit Who Killed General Rabe Is Known To Govt" — Tinubu In Panic Mode | Prof Yusuf
▶︎

"Bandit Who Killed General Rabe Is Known To Govt" — Tinubu In Panic Mode | Prof Yusuf

MBUNGE WA ACT LIYEPIGA KURA YA 'NDIYO' BAJETI KUU, AFUNGUKA "KILA MMOJA ANAJUA ANAOWAWAKILISHA"
▶︎

MBUNGE WA ACT LIYEPIGA KURA YA 'NDIYO' BAJETI KUU, AFUNGUKA "KILA MMOJA ANAJUA ANAOWAWAKILISHA"

SHEIKH PONDA ASHINDA KESI YA MADAI
▶︎

SHEIKH PONDA ASHINDA KESI YA MADAI

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.
▶︎

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

Majibu ya polisi yanatilika mashaka ­­­| Mateso ya Kimyakimya na Sheikh Issa Ponda | EP. 03
▶︎

Majibu ya polisi yanatilika mashaka ­­­| Mateso ya Kimyakimya na Sheikh Issa Ponda | EP. 03