Alichokisema, Sheikh Ponda, Baada ya Kuonana na Lissu
Subscribe / uwazi1 Kauli ya Sheikh Ponda Juu ya Kile Kinachoendelea Tanzania KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda amesema ameguswa na hisia za Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu. Ponda amesema hayo leo Jumatano akizungumzia safari yake ya Nairobi nchini Kenya alikokwenda kumjulia hali Lissu hivi karibuni. “Tulipokuwa tunabadilisha mawazo, niliguswa na hisia kubwa, badala ya mimi kumpa matumaini yeye ndiye alinipa matumaini,” amesema Ponda. Amesema madhumuni ya safari yake yalikuwa kumjulia hali Lissu, kumwombea dua, kumjengea matumaini ya afya na kujenga mazingira mapana yanayotosha kulizungumza jambo lililomfika. Lissu anapata matibabu katika Hospitali ya Nairobi baada ya kujeruhiwa kwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7 akiwa nyumbani kwake Area D mjini Dodoma. Sheikh Ponda amesema Lissu alimweleza hivi karibuni atarudi katika harakati na ataanzia alipoishia. “Amehimiza mshikamano na alionyesha ana matumaini na Watanzania kwa harakati wanazozifanya,” amesema. subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

DUDU BAYA BAADA ya KUTEMBELEA WAFUNGWA UKONGA - AFICHUA ALIVYOFUNGWA JELA na MR NICE - KUSAGA...

SHEKHE PONDA AELEZA ALIVYOPIGWA RISASI MOROGORO BAADA YA KUIKOSOA SERIKALI "NILIPEWA KESI YA MAUAJI"

SIKIA UTANI wa DUDU BAYA na CHID BENZ BAADA ya KUWATEMBELEA WAFUNGWA UKONGA - ''NIMEIBIWA NYOTA''...

#ZINDUKA: URUPFU SI IKINTU WANKANGISHA KUKO N'UBUNDI NZAPFA – UMUNYAMAKURU THEO UKWEZI

USIYOYAJUA KUHUSU DK. SLAA; ALIVYOMGOMEA SUMAYE, AKAVAANA NA RAIS KIKWETE, LOWASSA, MKAPA NA ROSTAM

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

PROF. MKENDA ASHUSHA NONDO BUNGENI "KUFA NA KUPONA HATUWEZI KULIEPUKA"

MWAKILISHI SIMAI ALIYEMTAJA YUDA AGOMA KUTOA UFAFANUZI, AKIMBIA MIC "YAMEPITA WATANZANIA WAMEFAHAMU"

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO

KIMEUMANA! ALI KAMWE AMVAA ZAKA ZAKAZI - "KWA KAULI ZAKO INAONEKANA WEWE UMETUMWA - TUTAONANA KESHO"

Inequality, corruption and police brutality in Kenya: Mehdi Hasan & Kimani Ichung’wah | Head to Head

አባትና ልጅ ሻለቃና ጄነራል - በነገራችን ላይ! ከደረጀ ኃይሌ ጋር -Benegerachin Lay @ArtsTvWorld

🔴LIVE: SHURA YA MAIMAMU YATOA HADHARI UWEKEZAJI WA BANDARI, SHEIKH PONDA ATOA WARAKA

NDANI ya GEREZA MADEE ASHANGAA KUMKUTA MFUNGWA ANA SWALI - ''WALIFURAHI KUMUONA AFANDE SELE''...

Show Me The 300 Jobs You Created After 300 Ghanaians Left! | Julius Malema

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

BAKWATA Wamkana SHEIKH PONDA- "HATUJAKUBALIANA KUPIGIA KURA CHAMA CHOCHOTE, PUUZENI KAULI YAKE"

SHEIKH PONDA, KIONGOZI MTATA WA DINI ALIYEWAINGIZA JWTZ MTAANI, AKAWATOA JASHO POLISI NA BAKWATA

ግንቦትና ግንቦታውያን! ክፍል 2-ደረጀ ኃይሌ ከአቶ ፋሲካ ሲደልል ጋር - Benegerachin Lay with Fasika Sidelil @ArtsTvWorld

