BIDHAA ZA ORGINIC KUONGEZA UMRI WA KUISHI

Kupitia maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Kibiashara sabasaba, Wadau wa kilimo wameelezea namna wameendelea kuimarisha juhudi za kuongeza tija katika sekta ya kilimo kupitia kuendeleza kilimo ikolojia hai, kuhamasisha matumizi ya mbolea za organic na bidhaa za kibailojia, pamoja na kuwawezesha vijana kushiriki katika kilimo biashara. Mratibu wa Tanzania Organic Agriculture Movement (TOAM), Ernest Jerome, alisema Tanzania tayari ina Mkakati wa Taifa wa Kilimo Ikolojia Hai unaolenga kuboresha upatikanaji wa pembejeo, kuongeza ushirikiano wa wadau na kuwainua wakulima kupitia kilimo endelevu. Wakati huo huo, Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, TFRA na Tanzania Fertilizer Company (TFC) inaendelea kushirikiana na wazalishaji wa mbolea za organic na bidhaa za kibailojia ili kuongeza uzalishaji wa pembejeo zinazotengenezwa nchini na kupunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje. Kwa upande wake, Meneja Masoko wa Tanzania Biotech Product Limited (TBPL), Samuel Ponziray, alisema bidhaa za kibailojia zinazozalishwa na kiwanda hicho zimeendelea kusaidia kudhibiti mazalia ya mbu na kuchangia kupungua kwa kiwango cha maambukizi ya malaria nchini kutoka asilimia 14.3 hadi asilimia 5.5, huku Serikali ikilenga kutokomeza malaria ifikapo mwaka 2030. Aidha, Wizara ya Kilimo imewahimiza vijana kutumia fursa za BBT Project One, programu inayotoa mafunzo ya kilimo biashara, mashamba ya pamoja, ufugaji na uwezeshaji wa kifedha ili kuongeza ushiriki wa vijana katika sekta ya kilimo na kuifanya kuwa chanzo cha ajira na ukuaji wa uchumi.

Wadau Wataka Mbolea za Asili Zinufaishe Wakulima Kupitia Mpango wa Ruzuku
▶︎

Wadau Wataka Mbolea za Asili Zinufaishe Wakulima Kupitia Mpango wa Ruzuku

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI),Dkt. Ismael Kimirei akizungumza TBC
▶︎

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI),Dkt. Ismael Kimirei akizungumza TBC

Ondoa sumu katika damu. Dr Boaz aeleza
▶︎

Ondoa sumu katika damu. Dr Boaz aeleza

Nairobi international financial centre targets attracting $5bn into Kenya by 2030
▶︎

Nairobi international financial centre targets attracting $5bn into Kenya by 2030

KILIMO ALMASI | Siri ya mafanikio ya kilimo cha mbaazi
▶︎

KILIMO ALMASI | Siri ya mafanikio ya kilimo cha mbaazi

FAHAMU FURSA MBALIMBALI ZA KIBIASHARA NA UWEKEZAJI ZINAZOPATIKANA KILOSA
▶︎

FAHAMU FURSA MBALIMBALI ZA KIBIASHARA NA UWEKEZAJI ZINAZOPATIKANA KILOSA

SPEECH BY PRESIDENT DR. JOHN POMBE MAGUFULI AT THE SWEARING-IN CEREMONY OF NEWLY APPOINTED OFFICI...
▶︎

SPEECH BY PRESIDENT DR. JOHN POMBE MAGUFULI AT THE SWEARING-IN CEREMONY OF NEWLY APPOINTED OFFICI...

They Laughed at His Machines — Now Everyone Wants One
▶︎

They Laughed at His Machines — Now Everyone Wants One

BENKI YA TIB NA KAMPUNI YA TIB RASLIMALI LTD WAAINISHA FURSA NA KUELIMISHA WANANCHI KUPITIA SABASABA
▶︎

BENKI YA TIB NA KAMPUNI YA TIB RASLIMALI LTD WAAINISHA FURSA NA KUELIMISHA WANANCHI KUPITIA SABASABA

RAIS SAMIA AWAJIBU JUMUIYA YA MADOLA SAKATA LA LISSU, "MATAMKO YANATUWEKA KATIKA WAKATI MGUMU"
▶︎

RAIS SAMIA AWAJIBU JUMUIYA YA MADOLA SAKATA LA LISSU, "MATAMKO YANATUWEKA KATIKA WAKATI MGUMU"

THE FARM THAT PAYS!  A FORMER MCA WHO BUILT A PROFITABLE VEG. & PAWPAW FARMING IN KILIFI COUNTY.
▶︎

THE FARM THAT PAYS! A FORMER MCA WHO BUILT A PROFITABLE VEG. & PAWPAW FARMING IN KILIFI COUNTY.

LES DEFIS DE LA SECURITE ALIMENTAIRE -Thione NIANG #JEUFZONE Farm
▶︎

LES DEFIS DE LA SECURITE ALIMENTAIRE -Thione NIANG #JEUFZONE Farm

WOOW😳 LEADERSHIP😳 A Tour Inside NDC NATIONAL ORGANIZER BIG Poultry Farm😳 20 Workers😳 HOW IT STARTED😳
▶︎

WOOW😳 LEADERSHIP😳 A Tour Inside NDC NATIONAL ORGANIZER BIG Poultry Farm😳 20 Workers😳 HOW IT STARTED😳

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI  | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42
▶︎

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42

NFRA TUNAUZA UNGA WENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU KARINBUNI
▶︎

NFRA TUNAUZA UNGA WENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU KARINBUNI

Ukweli na Historia Ya Mr kuku Kigamboni
▶︎

Ukweli na Historia Ya Mr kuku Kigamboni

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA
▶︎

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

KONGAMANO LA VIJANA  JIJI LA TANGA
▶︎

KONGAMANO LA VIJANA JIJI LA TANGA

This Is How He Makes $1M a Year Selling Fish
▶︎

This Is How He Makes $1M a Year Selling Fish

ELIMU YA BIMA KWA WATANZANIA KUTOKA KIJIJI CHA SABASABA - 2026
▶︎

ELIMU YA BIMA KWA WATANZANIA KUTOKA KIJIJI CHA SABASABA - 2026