Polisi waimarisha ulinzi kuelekea kilele cha "Mbio za Mwenge wa Uhuru"
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Jeshi la Polisi Tanzania Kamishna (CP) Awadhi Haji Leo Oktoba 13,2023 amesema hali ya ulinzi na usalama mkoani Manyara imeimarika kwa ajili ya kilele cha mbio za mwenge zinazotarajiwa kufanyika kesho 14 Oktoba, 2023 mkoani humo. Ameeleza kuwa ulinzi wa viongozi wakuu wa nchi na wageni wote umeimarishwa ili kuhakikisha shughuli iliyokusudiwa inafanyika kwa utulivu na amani.

▶︎
MABINGWA: Simba Queens walivyokabidhiwa kombe la ubingwa wa Ligi Kuu Wanawake 2025/26

▶︎
KOMBE LA DUNIA 2026 | Uchambuzi wa makundi yote 12 (Kiswahili)

▶︎
MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 10/06/2026

▶︎
UFUNGUZI KOMBE LA DUNIA | Golikipa Osman Kazi afungwa goli la kibabe

▶︎
VIWANJANI | 12/06/2026 | Uchambuzi, Steve Barker, Allan Okelo na matukio yaliyotikisa Soka Tanzania.

▶︎
KOMBE LA DUNIA 2026 | Chiko Lawi LIVE kutoka Tanzanite Bridge

▶︎
Magoli | Fountain Gate 0-2 Azam FC | NBC Premier League 12/06/2026

▶︎
VIWANJANI | 10/06/2026 | Uchambuzi kuhusu kurejea mechi za NBC Premier League.

▶︎
KOMBE LA DUNIA | Fatma Chikawe alivyoufungua uchambuzi upande wa Kiswahili

▶︎
KOMBE LA DUNIA 2026 | Azam TV ilivyojipanga kwa mechi ya ufunguzi

▶︎
KOMBE LA DUNIA 2026 | Uchambuzi mabingwa wa kihistoria na miji itakayotumika WC 2026

▶︎
VIWANJANI | 11/06/2026 |

▶︎
Magoli | Simba Queens 1-1 Alliance Girls | Tanzania Women Premier League 12/06/2026

▶︎
KOMBE LA DUNIA 2026 | Chiko Lawi alivyofungua uchambuzi upande wa Kiingereza (English)

▶︎
Chikolawi & Peter Otai

▶︎
MBEYA CITY vs MTIBWA SUGAR: Mtibwa Sugar watamba kuondoka na alama tatu za ugenini.

▶︎
JKTTANZANIA vs SINGIDABS: Singida BS yawinda ushindi muhimu, kuitafuta nafasi ya nne kwenye msimamo.

▶︎
MBEYA CITY vs MTIBWA SUGAR: Salum Mayanga asisitiza wachezaji wake kuepuka makosa.

▶︎
