MBEYA CITY vs MTIBWA SUGAR: Mtibwa Sugar watamba kuondoka na alama tatu za ugenini.
Kocha wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amesema timu yake imetumia vyema kipindi cha mapumziko kujiandaa kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mbeya City utakaochezwa kesho Juni 13, 2026. Chipo amesema kikosi chake kimejiandaa kuhakikisha kinaepuka makosa ambayo yamekuwa yakiwagharimu na kuwanyima alama tatu muhimu katika mechi zilizopita. Kwa upande wake, mchezaji wa timu hiyo, Harun Lyawatwa amesema wanafahamu mchezo huo utakuwa mgumu kutokana na kila timu kuhitaji matokeo ya ushindi, lakini wamejipanga kufanya vema na kupambana kwa nguvu zote. Mechi itapigwa saa 8:00 mchana, na itakuwa LIVE kupitia #AzamSports1HD

▶︎
VIWANJANI | 12/06/2026 | Uchambuzi, Steve Barker, Allan Okelo na matukio yaliyotikisa Soka Tanzania.

▶︎
LIVE CROWN SPORTS : OKELLO MCHEZAJI BORA WA MWEZI, AWAPIGA CHINI CHAMA, FEISAL, RAJA YAMTIMUA FADLU.

▶︎
KOMBE LA DUNIA 2026 | Uchambuzi wa makundi yote 12 (Kiswahili)

▶︎
METACHA MNATA AFUNGUKA SABABU ZA KUKATAA KUTOKA KWENYE MECHI NA YANGA/MAPENZI YAKE PIA!

▶︎
Shocking scenes!! Jacaranda WANTAM debaters lead by Okanga sends a terrifying message to Opposition

▶︎
SIKIA RIPOTI YA KIKOSI CHETU SIKU YA KWANZA KIGOMA| TUKUTANE LAKE TANGANYIKA WANANCHI

▶︎
A-Z SEMAJI AHMED ALLY AZUNGUMZA KUHUSU BUS JIPYA/MCHEZO UJAO DHIDI YA PAMBA/HALI YA KIKOSI/JEZI

▶︎
Trump tumefikia makubaliano ya kumaliza vita na Iran

▶︎
Kwa uchungu BIBI mbele ya RC CHALAMILA aelezea chanzo cha ARDHI ya BABA YAKE kutapeliwa na wavamizi

▶︎
MABINGWA: Simba Queens walivyokabidhiwa kombe la ubingwa wa Ligi Kuu Wanawake 2025/26

▶︎
FULL VIDEO KILICHOMPONZA MWENYEKITI WA MTAA HADI RC CHALAMILA KUAGIZA AKAMATWE | UTAPELI WA VIWANJA.

▶︎
JKT TANZANIA vs SINGIDA BS: Ahmad Ally awatuliza presha wachezaji wake kuelekea mchezo wa kesho.

▶︎
DOGO REMA ASIMULIA ALIVYOFUKUZWA KWA AIBUA NA DOTTO MAGARI NYUMBANI KWAKE NAISHI MAISHA MAGUMU

▶︎
GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY

▶︎
UPETE NA GENZPUNDIT WAMPONGEZA OKELLO KUWA MCHEZAJI BORA MWEZI MEI "HAJAWA KWA BAHATI KAPAMBANA ".

▶︎
USA vs Brazil Gets OUT OF CONTROL! 😱 ALL Yellow & Red Cards

▶︎
KOMBE LA DUNIA 2026 | Uchambuzi mabingwa wa kihistoria na miji itakayotumika WC 2026

▶︎
Ronaldinho will never forget 17 Years Old Lionel Messi's performance in this match

▶︎
Magoli | Fountain Gate 0-2 Azam FC | NBC Premier League 12/06/2026
![France vs Ivory Coast 1-2- HL & GoaIs - 2026 [4K 60FPS]](https://i.ytimg.com/vi/xSZHKw187R0/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEnCNACELwBSFryq4qpAxkIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAG4AvMY&rs=AOn4CLCOvOU7s9nZQGYl5jQCCYPgZfW_hw&usqp=CCY)
▶︎
