BAVICHA WAMJIA JUU KATAMBI ZUIO LA MIKUTANO || WATAKA TUNDULISSU AACHIWE HURU || WAPIGA MKWARA MZITO

BAVICHA WAMJIA JUU WAZIRI KATAMBI ZUIO LA MIKUTANO || WATAKA TUNDULISSU AACHIWE HURU || WAPIGA MKWARA MZITO Baraza la vijana la chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA BAVICHA limesema zuio la mikutano ya hadhara ya siasa ambalo limetangazwa na waziri wa mambo ya ndani ya nchi Patrobas Katambi ni haramu kwa kuwa linakiuka ibara ya 20 ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Kauli hiyo ya baraza la vijana la chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA BAVICHA imetolewa na katibu mwenezi BAVICHA taifa Felius Festo kwenye mkutano wa hadhara ambao umefanyika katika eneo la Kapunga wilayani Mbarali mkoani Mbeya. Kwa upande wake makamu mwenyekiti wa baraza la vijana la chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA BAVICHA taifa Necto Kitiga ameitaka serikali kumuachia mwenyekiti wa CHADEMA taifa Tundu Lissu kwa kuwa ameshikiliwa kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa bila kosa lolote.

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA
▶︎

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

REKA MBERURIRE RWOSE NARAHUNZE, NACIYE MU NZIRA Y'URUPFU NSIGA BYOSE NARUHIYE NGO NDOKORE UBUZIMA
▶︎

REKA MBERURIRE RWOSE NARAHUNZE, NACIYE MU NZIRA Y'URUPFU NSIGA BYOSE NARUHIYE NGO NDOKORE UBUZIMA

VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA HAVIKO HURU|| WAZIRI HAKUTAKIWA KUINGILIA|| SAKATA LA KATAMBI SURA MPYA
▶︎

VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA HAVIKO HURU|| WAZIRI HAKUTAKIWA KUINGILIA|| SAKATA LA KATAMBI SURA MPYA

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

CHAUMMA YAMKATAA ALIYETANGAZA KUKIHAMA CHAMA HICHO KUELEKEA CHADEMA || WASEMA ALISHAONDOKA CHAUMMA
▶︎

CHAUMMA YAMKATAA ALIYETANGAZA KUKIHAMA CHAMA HICHO KUELEKEA CHADEMA || WASEMA ALISHAONDOKA CHAUMMA

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA
▶︎

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

HECHE AMRARUA VIKALI MBUNGE WA MBEYA MJINI ALIYESEMA BODABODA WATOE BUKU KILA SIKU
▶︎

HECHE AMRARUA VIKALI MBUNGE WA MBEYA MJINI ALIYESEMA BODABODA WATOE BUKU KILA SIKU

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM
▶︎

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

PM MWIGULU responds to CHADEMA, speaks out on serious issues, uses the CONSTITUTION to clarify, a...
▶︎

PM MWIGULU responds to CHADEMA, speaks out on serious issues, uses the CONSTITUTION to clarify, a...

Tamko la Waziri Katambi Halisadifu Hali ya Usalama Bali ni Siasa - Wakili Kilatu
▶︎

Tamko la Waziri Katambi Halisadifu Hali ya Usalama Bali ni Siasa - Wakili Kilatu

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'
▶︎

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story
▶︎

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

HECHE AMVAA KATAMBI BILA UWOGA, KATAVI YAITIKA NYOMI
▶︎

HECHE AMVAA KATAMBI BILA UWOGA, KATAVI YAITIKA NYOMI

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO
▶︎

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

KUMENUKA! SERIKALI YAFUTA MIKUTANO YOTE YA VYAMA VYA SIASA, MAANDAMANO YA JULAI 7 KIZUNGUMKUTI!
▶︎

KUMENUKA! SERIKALI YAFUTA MIKUTANO YOTE YA VYAMA VYA SIASA, MAANDAMANO YA JULAI 7 KIZUNGUMKUTI!

INAUMIZA SANA: MWANAFUNZI WA FORM SIX  AMLIZA MAMA YAKE BAADA YA KUTOROKA NYUMBANI NA KUACHA UJUMBE
▶︎

INAUMIZA SANA: MWANAFUNZI WA FORM SIX AMLIZA MAMA YAKE BAADA YA KUTOROKA NYUMBANI NA KUACHA UJUMBE

LIVE🔴POLISI MSIWACHEKEE HAWA|| MAANDAMANO YAONYWA|| AWATAJA WALIOKAMATWA|| WAZIRI MKUU AKASIRIKA.
▶︎

LIVE🔴POLISI MSIWACHEKEE HAWA|| MAANDAMANO YAONYWA|| AWATAJA WALIOKAMATWA|| WAZIRI MKUU AKASIRIKA.

POLISI ALIYEGOMEWA NA WANANCHI KWENYE MKUTANO WAKATAWANYIKA ALIKUWA ANAJARIBU KUWAELEWESHA
▶︎

POLISI ALIYEGOMEWA NA WANANCHI KWENYE MKUTANO WAKATAWANYIKA ALIKUWA ANAJARIBU KUWAELEWESHA

JOHN HECHE ACHARUKA/"HATUTASHIRIKI MARIDHIANO HADI LISSU AACHIWE"
▶︎

JOHN HECHE ACHARUKA/"HATUTASHIRIKI MARIDHIANO HADI LISSU AACHIWE"