HECHE AMRARUA VIKALI MBUNGE WA MBEYA MJINI ALIYESEMA BODABODA WATOE BUKU KILA SIKU
HECHE AMRARUA VIKALI MBUNGE WA MBEYA MJINI ALIYESEMA BODABODA WATOE BUKU KILA SIKU Makamu mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Tanzania bara John Heche amesema bajeti ambayo imetengwa na bunge kwa ajili ya safari za viongozi inaweza kujenga barabara kutoka Dar Es Salaam hadi Tunduma akimkosoa mbunge wa jimbo la Mbeya mjini aliyetaka bodaboda wachange elfu moja kila siku. Heche ameeleza hayo wakati akizungumza na wananchi eneo la Kabwe jijini Mbeya ambapo amesema maisha tunayoishi watanzania yanatokana katiba ya sasa na hivyo katiba ya Tanzania inatakiwa kubadilishwa kwa kuwa katiba ya sasa inaruhusu rais kumteua mtu yeyote anayemtaka bila kujali uwezo wake hivyo kuzalisha machawa.

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
MADEREVA BODABODA MBEYA WATOFAUTIANA KIKAO CHA MBUNGE WENGINE WASUSIA KIKAO NA KUONDOKA UKUMBINI

▶︎
#LIVE: HECHE AISIMAMISHA TUNDUMA WAIPIKU MBEYA MJINI, MOTO UNAWAKA MUDA HUU

▶︎
HECHE ASHINDWA KUZUNGUMZA MKUTANONI Mic Yazima Ghafla Wananchi Wapiga Kelele

▶︎
🔴LIVE: CHADEMA WAFURIKA TUNDUMA WASEPA NA KIJIJI, JOHN HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO

▶︎
ITAKUTOA MACHOZI MAMA ASIMULIA KWA UCHUNGU ALIVYOMPOTEZA KIJJANA WAKE OCTOBER 29

▶︎
BODABODA WALIOSUSIA KIKAO CHA MBUNGE WA JIMBO LA MBEYA MJINI WAELEZA SABABU YA KUSUSIA NA KUONDOKA

▶︎
HECHE AVUNJA REKODI TUNDUMA, NI BALAA, WANANCHI WAJITOKEZA HATUNA KWA KUTIA MGUU

▶︎
VIONGOZI WANAODAI KATIBA MPYA NI UBINAFSI, WENYE HAKI YA KUKOSOA NI TULIOSHIRIKI UCHAGUZI- DOYO

▶︎
HOTUBA YA HECHE LEO YATIKISA MKOANI TUNDUMA...

▶︎
HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

▶︎
POLISI ALIYEGOMEWA NA WANANCHI KWENYE MKUTANO WAKATAWANYIKA ALIKUWA ANAJARIBU KUWAELEWESHA

▶︎
'USINITISHE MIMI, KILA MKENYA NI MKIKUYU' ~UHURU KENYATTA LAST WARNING TO RUTO

▶︎
#LIVE: HECHE AISIMAMISHA MBEYA MJINI, MAELFU WAJAZANA MUDA HUU

▶︎
HECHE HAKAMATIKI, AWAPA UKWELI MCHUNGU POLISI NA WATAWALA, AONGEZEWE ULINZI, ATIKISA MBARALI BALAA

▶︎
MATIANG'I EXPLODES: Museveni & Son Are The MOST PRIMITIVE Leaders In East Africa |Plug Tv Kenya

▶︎
MVUTANO MKALI: ADO vs BULAYA watupiana MANENO "ulikuwa CHADEMA lini umeijua CCM"

▶︎
MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

▶︎
🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA

▶︎
