DKT. KHALID: ONGEZEKO LA WATU LAZIMA LIENDANE NA MIPANGO BORA YA MATUMIZI YA ARDHI

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dkt. Khalid Salum Mohamed, amesema ukuaji wa kasi wa idadi ya watu nchini unahitaji kuwepo kwa mipango madhubuti ya matumizi ya ardhi ili kuhakikisha rasilimali hiyo muhimu inaendelea kutumika kwa ufanisi kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho. Akifungua Jukwaa la Majadiliano la Sekta ya Ardhi na Makazi lililoandaliwa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi katika Hoteli ya Golden Tulip Airport, Mkoa wa Mjini Magharibi, Dkt. Khalid amesema Zanzibar imeendelea kushuhudia ongezeko kubwa la idadi ya watu kutoka takribani laki tatu hadi zaidi ya milioni 1.8 kwa sasa. Ameeleza kuwa makadirio yanaonesha idadi hiyo inaweza kufikia watu milioni sita ifikapo mwaka 2050 au 2060, hali inayohitaji mipango bora ya matumizi ya ardhi ili kuepusha changamoto za makazi, miundombinu na maendeleo ya kijamii. Aidha, amesema sekta ya ardhi ni sekta mtambuka inayochangia maendeleo ya kilimo, uvuvi, elimu, miundombinu na uwekezaji, hivyo usimamizi wake unapaswa kupewa kipaumbele maalum. Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Swalha Mwinjuma Mohamed, amesema jukwaa hilo limewakutanisha wadau mbalimbali kujadili utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2026/2027 pamoja na kutafuta suluhisho la changamoto zinazoikabili sekta ya ardhi na makazi. #Zanzibar #Ardhi #Makazi #Maendeleo #MipangoMiji #Uwekezaji #Miundombinu #ForYou #FYP #TikTokTanzania #InstaNews #TrendingNow

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

ONESHO LA FILAMU LA HISTORIA YA KILWA LAZINDULIWA ZANZIBAR
▶︎

ONESHO LA FILAMU LA HISTORIA YA KILWA LAZINDULIWA ZANZIBAR

Prz John Mahama happily arrive to cut sod for multimillion dollar Sentuo Oil Refinery Phase 2project
▶︎

Prz John Mahama happily arrive to cut sod for multimillion dollar Sentuo Oil Refinery Phase 2project

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.
▶︎

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story
▶︎

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

10 Things You Should Never Tell ChatGPT: AI Chatbots Can’t Keep Your Secrets Like You Think
▶︎

10 Things You Should Never Tell ChatGPT: AI Chatbots Can’t Keep Your Secrets Like You Think

Trump says Iran violated ceasefire with drone strike on cargo ship in Strait of Hormuz
▶︎

Trump says Iran violated ceasefire with drone strike on cargo ship in Strait of Hormuz

TISHIO LA MAANDAMANO 7/7, WAZIRI MKUU AFOKA VIKALI KWA WALIOPANGA MAANDAMANO ATOA MSIMAMO MKALI
▶︎

TISHIO LA MAANDAMANO 7/7, WAZIRI MKUU AFOKA VIKALI KWA WALIOPANGA MAANDAMANO ATOA MSIMAMO MKALI

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'
▶︎

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO
▶︎

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO

Rubio announces Israel, Lebanon framework agreement
▶︎

Rubio announces Israel, Lebanon framework agreement

AHUKUMIWA MIAKA 20 - ALIYE MCHARANGA VISU MKE MWENZIE
▶︎

AHUKUMIWA MIAKA 20 - ALIYE MCHARANGA VISU MKE MWENZIE

Famous Biryani Street Food in Afghanistan | kabuli pulao | Roasted Chicken & Punjabi Curry | Rosh
▶︎

Famous Biryani Street Food in Afghanistan | kabuli pulao | Roasted Chicken & Punjabi Curry | Rosh

WATCH NOW: Inside Tanzania's HOPE CITY - A New Era Begins
▶︎

WATCH NOW: Inside Tanzania's HOPE CITY - A New Era Begins

Keir Starmer has resigned. Why? | BBC News
▶︎

Keir Starmer has resigned. Why? | BBC News

Mkurugenzi Mkuu wa ZARTSA awaondosha wafanyabiashara waliopo pembezoni mwa barabara.
▶︎

Mkurugenzi Mkuu wa ZARTSA awaondosha wafanyabiashara waliopo pembezoni mwa barabara.

Maddow: The good news about our bad president
▶︎

Maddow: The good news about our bad president

#LIVE: MAKABURINI MWILI WA RPC ABWAO UKIPELEKWA KWAAJILI YA MAZIKO
▶︎

#LIVE: MAKABURINI MWILI WA RPC ABWAO UKIPELEKWA KWAAJILI YA MAZIKO

Couple spends ONE YEAR restoring a 100-year-old stone house in Italy | by @ateliermavi
▶︎

Couple spends ONE YEAR restoring a 100-year-old stone house in Italy | by @ateliermavi

Mwanasheria Mkuu CHADEMA amjibu waziri Katambi zuio la Mikutano vyama vya siasa.
▶︎

Mwanasheria Mkuu CHADEMA amjibu waziri Katambi zuio la Mikutano vyama vya siasa.