HOTUBA YA RAIS SAMIA MARIDHIANO Z'NZIBAR "MARIDHIANO SI UDHAIFU, NI UKOMAVU WA KISIASA"

#HABARI: Rais Samia Suluhu Hassan, amesema maridhiano si udhaifu, bali ni ukomavu wa kisiasa unaojenga misingi ya umoja na kuheshimiana. Amesema maridhiano ni ishara kwamba viongozi wanaweza kutofautiana kwa hoja, lakini wakakubaliana katika mambo ya msingi ya uendeshaji wa nchi, kujali maslahi na ustawi wa wananchi na nchi kwa ujumla. Rais Samia ameyasema hayo visiwani Zanzibar leo, Alhamisi Julai 9, 2026 alipohutubia wakati wa hafla ya utiaji saini Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar. Amesema mwelekeo huo wa kiungwana, unafungua ukurasa mwingine katika kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

RAIS DKT. SAMIA AKISHUHUDIA TAMKO LA PAMOJA  LA MARIDHIANO YA KISIASA BAINA YA CCM NA ACT,  ZANZIBAR
▶︎

RAIS DKT. SAMIA AKISHUHUDIA TAMKO LA PAMOJA LA MARIDHIANO YA KISIASA BAINA YA CCM NA ACT, ZANZIBAR

Othman Masoud: Maridhiano si kwa Faida ya Vyama vya Siasa Tu, Tuungane kwa Ajili ya Zanzibar
▶︎

Othman Masoud: Maridhiano si kwa Faida ya Vyama vya Siasa Tu, Tuungane kwa Ajili ya Zanzibar

OTHMAN MASOUD: TUWAKATAE WANAOBEZA HAYA MARIDHIANO YA CCM NA ACT WAZALENDO
▶︎

OTHMAN MASOUD: TUWAKATAE WANAOBEZA HAYA MARIDHIANO YA CCM NA ACT WAZALENDO

OTHMAN MASOUD AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA ATOA TAMKO KWA TUNDU LISSU NA WAFUASI WAKE | KATIBA MPYA
▶︎

OTHMAN MASOUD AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA ATOA TAMKO KWA TUNDU LISSU NA WAFUASI WAKE | KATIBA MPYA

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: JALAI 09, 2026
▶︎

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: JALAI 09, 2026

VILIO, SIMANZI! BAADA YA MV KALEBEZO KUTEKETEA MOTO MWANZA
▶︎

VILIO, SIMANZI! BAADA YA MV KALEBEZO KUTEKETEA MOTO MWANZA

MANENO YA ''OMO'' BAADA YA KUSAINIWA KWA HATI YA MARIDHIYANO ZANZIBAR 2026
▶︎

MANENO YA ''OMO'' BAADA YA KUSAINIWA KWA HATI YA MARIDHIYANO ZANZIBAR 2026

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

WAZANZIBAR SIO WABAGUZI - DK MUCHUNGUZI, AFUNGUKA MAZITO
▶︎

WAZANZIBAR SIO WABAGUZI - DK MUCHUNGUZI, AFUNGUKA MAZITO

OMO ATOA DARASA MBELE YA RAIS MWINYI NA DKT SAMIA HII NI HISTORIA KWA UPINZANI
▶︎

OMO ATOA DARASA MBELE YA RAIS MWINYI NA DKT SAMIA HII NI HISTORIA KWA UPINZANI

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JULAI 09, 2026 -RAIS SAMIA AWAONYA WANAHARAKATI WENYE MIOYO YA UGAIDI
▶︎

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JULAI 09, 2026 -RAIS SAMIA AWAONYA WANAHARAKATI WENYE MIOYO YA UGAIDI

MAMBO MAKUU WALIYOKUBALIANA ACT NA CCM YASOMWA LIVE IKULU
▶︎

MAMBO MAKUU WALIYOKUBALIANA ACT NA CCM YASOMWA LIVE IKULU

RAIS SAMIA AWAKAANGA VIKALI ''WANAJIITA WANAHARAKATI KUMBE NI MAGAIDI - WANALIPWA WALETE VURUGU''
▶︎

RAIS SAMIA AWAKAANGA VIKALI ''WANAJIITA WANAHARAKATI KUMBE NI MAGAIDI - WANALIPWA WALETE VURUGU''

Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):
▶︎

Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):

WAFUGAJI LIWALE WALIA NA BAADHI YA ASKARI POLISI
▶︎

WAFUGAJI LIWALE WALIA NA BAADHI YA ASKARI POLISI

TAMKO la PAMOJA la MARIDHIANO ya KISIASA CCM na ACT - "UCHAGUZI MKUU UMEACHA MALALAMIKO"..
▶︎

TAMKO la PAMOJA la MARIDHIANO ya KISIASA CCM na ACT - "UCHAGUZI MKUU UMEACHA MALALAMIKO"..

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST
▶︎

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

RAIS MWINYI: MARIDHIANO YAMEWEKA MASLAHI YA ZANZIBAR KWANZA
▶︎

RAIS MWINYI: MARIDHIANO YAMEWEKA MASLAHI YA ZANZIBAR KWANZA

Rais Trump asema leo usiku Marekani itaishambulia vikali Iran. Katika Dira ya Dunia TV.
▶︎

Rais Trump asema leo usiku Marekani itaishambulia vikali Iran. Katika Dira ya Dunia TV.

Wantam Drama in Court as Lawyer Ndegwa Njiru who was arrested by Drunk Police is Released by Court!
▶︎

Wantam Drama in Court as Lawyer Ndegwa Njiru who was arrested by Drunk Police is Released by Court!