HOTUBA YA RAIS SAMIA MARIDHIANO Z'NZIBAR "MARIDHIANO SI UDHAIFU, NI UKOMAVU WA KISIASA"
#HABARI: Rais Samia Suluhu Hassan, amesema maridhiano si udhaifu, bali ni ukomavu wa kisiasa unaojenga misingi ya umoja na kuheshimiana. Amesema maridhiano ni ishara kwamba viongozi wanaweza kutofautiana kwa hoja, lakini wakakubaliana katika mambo ya msingi ya uendeshaji wa nchi, kujali maslahi na ustawi wa wananchi na nchi kwa ujumla. Rais Samia ameyasema hayo visiwani Zanzibar leo, Alhamisi Julai 9, 2026 alipohutubia wakati wa hafla ya utiaji saini Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar. Amesema mwelekeo huo wa kiungwana, unafungua ukurasa mwingine katika kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

▶︎
RAIS DKT. SAMIA AKISHUHUDIA TAMKO LA PAMOJA LA MARIDHIANO YA KISIASA BAINA YA CCM NA ACT, ZANZIBAR

▶︎
Othman Masoud: Maridhiano si kwa Faida ya Vyama vya Siasa Tu, Tuungane kwa Ajili ya Zanzibar

▶︎
OTHMAN MASOUD: TUWAKATAE WANAOBEZA HAYA MARIDHIANO YA CCM NA ACT WAZALENDO

▶︎
OTHMAN MASOUD AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA ATOA TAMKO KWA TUNDU LISSU NA WAFUASI WAKE | KATIBA MPYA

▶︎
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: JALAI 09, 2026

▶︎
VILIO, SIMANZI! BAADA YA MV KALEBEZO KUTEKETEA MOTO MWANZA

▶︎
MANENO YA ''OMO'' BAADA YA KUSAINIWA KWA HATI YA MARIDHIYANO ZANZIBAR 2026

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
WAZANZIBAR SIO WABAGUZI - DK MUCHUNGUZI, AFUNGUKA MAZITO

▶︎
OMO ATOA DARASA MBELE YA RAIS MWINYI NA DKT SAMIA HII NI HISTORIA KWA UPINZANI

▶︎
🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JULAI 09, 2026 -RAIS SAMIA AWAONYA WANAHARAKATI WENYE MIOYO YA UGAIDI

▶︎
MAMBO MAKUU WALIYOKUBALIANA ACT NA CCM YASOMWA LIVE IKULU

▶︎
RAIS SAMIA AWAKAANGA VIKALI ''WANAJIITA WANAHARAKATI KUMBE NI MAGAIDI - WANALIPWA WALETE VURUGU''

▶︎
Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):

▶︎
WAFUGAJI LIWALE WALIA NA BAADHI YA ASKARI POLISI

▶︎
TAMKO la PAMOJA la MARIDHIANO ya KISIASA CCM na ACT - "UCHAGUZI MKUU UMEACHA MALALAMIKO"..

▶︎
MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

▶︎
RAIS MWINYI: MARIDHIANO YAMEWEKA MASLAHI YA ZANZIBAR KWANZA

▶︎
Rais Trump asema leo usiku Marekani itaishambulia vikali Iran. Katika Dira ya Dunia TV.

▶︎
