VILIO, SIMANZI! BAADA YA MV KALEBEZO KUTEKETEA MOTO MWANZA
Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwa kwenye boti mv kalebezo iliyoteketea na kuzama katika maeneo ya visiwa vya Kunene na Lyamwenge ziwa Victoria ikiwa imebeba shehena ya mizigo na abiria ikitokea kisiwa cha Goziba wilayani Muleba mkoani Kagera kuelekea mkoani Mwanza limekamilika baada ya vyombo vya usalama kushirikiana na shirika la uwakala wa meli tasac kufanikisha kuokoa zaidi ya watu arobaini waliokuwa katika boti hiyo. Baadhi ya manusura waliookolewa katika ajali hiyo waliowasili katika soko la kimataifa la dagaa kirumba majira ya saa kumi alasiri na boti maalumu ya uokozi ya shirika la uwakala wa meli TASAC wamepongeza juhudi zilizofanywa na vyombo vya usalama walioshirikiana na wavuvi kuwaokoa. Huduma ya uokozi imefanywa na vyombo vya usalama katika mkoa wa mwanza kwa ushirikiano pia wa shirika la uwakala wa meli nchini tasac ambapo kaimu afisa mfawidhi wa tasac mwanza mhandisi Paul Musokwa watu wawili wamefanikiwa kuokolewa. Baadhi ya wafanyabiashara wa samaki na dagaa waliokuwa na shehena ya mizigo katika boti hiyo wameiomba serikali kurejesha huduma za usafiri wa meli ya MV CLARIUS ambayo ilisitisha huduma kwa zaidi ya miaka miwili sasa na kusababisha changamoto ya usafiri nankuwalazimu wafanyabiashara kutumia boti za mizigo ambao umekuwa sio salama.

đź”´TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JULAI 09, 2026 -RAIS SAMIA AWAONYA WANAHARAKATI WENYE MIOYO YA UGAIDI

Askofu Bagonza Atoa Tafakari Nzito: Hali ya Siasa, GEN-Z na Tunapoelekea

Othman Masoud: Maridhiano si kwa Faida ya Vyama vya Siasa Tu, Tuungane kwa Ajili ya Zanzibar

MARUDIO HABARI YA SAA KUMI NA MBILI: JULAI 09, 2026

Argentinien – Ägypten Highlights | Achtelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

No One Will Ever Find This Hidden Underground Fortress! | Start to Finish

I knowingly joined the Russian war after leaving the Kenya Defense Forces | Tuko TV

MANENO YA ''OMO'' BAADA YA KUSAINIWA KWA HATI YA MARIDHIYANO ZANZIBAR 2026

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI, JULAI 09, 2026: ‎ WAWILI WAFARIKI WAKIDAIWA KUSHAMBULIWA NA KIBOKO

RAIS DKT. SAMIA AKISHUHUDIA TAMKO LA PAMOJA LA MARIDHIANO YA KISIASA BAINA YA CCM NA ACT, ZANZIBAR

This man built a massive log cabin in the forest with his own hands in just one year! @bjornbrenton

How Japan Built the Impossible 400 km Great Wall that You've Never Heard Of

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

Plane Takes Off Too Late

LIVE: MPASUKO CHADEMA MANGE AIBUA SIRI NZITO AKITAJA LEMA, SUGU/ RAIS SAMIA AWAVAA WANAHARAKATI

UJENZI WA BARABARA YA MALAWI–KINAZINI KUANZA JULAI 10 KUBORESHA USAFIRI ZANZIBAR

Foreigners forced to flee as mob violence grips South African townships

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

Trump, Meloni Come Face To Face At NATO Summit During Family Photo, Then This Happens

