MANSOUR YUSSUF HIMID AWAVAA CCM BILA YA WOGA TUMBE PEMBA HAWANA MAANA WAMESHINDWA.......!!! #ACT

Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu Act Wazalendo utazipata kupitia channel hii Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chet Cha ACT Wazalendo makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa #actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi. Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia: 1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira. 2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa. 3.Upatikanaji wa elimu bora. 4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote. 5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote. 6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu. 7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi. 8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza. 9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote. 10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM
▶︎

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'
▶︎

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

Othman Masoud Afunguka Historia ya Utumishi Wake, Asema Wanataka Kurudisha Heshima ya Zanzibar
▶︎

Othman Masoud Afunguka Historia ya Utumishi Wake, Asema Wanataka Kurudisha Heshima ya Zanzibar

@officialactwazalendotv HII NDO HUTBA YA KARNE YA MH MANSOUR YUSSUF KUTOKA TIBIRINZI ISIKILIZE HAPA
▶︎

@officialactwazalendotv HII NDO HUTBA YA KARNE YA MH MANSOUR YUSSUF KUTOKA TIBIRINZI ISIKILIZE HAPA

LIVE: CCM KUNA NINI? KENANI  ATOA ONYO | ASKOFU BAGONZA AIBUKA NA KAULI YA YUDA | MSIGWA CHADEMA
▶︎

LIVE: CCM KUNA NINI? KENANI ATOA ONYO | ASKOFU BAGONZA AIBUKA NA KAULI YA YUDA | MSIGWA CHADEMA

DAKIKA 25 ZA MOTO WA MANSOOR YUSUF HIMID   AMGUSA PIA MZEE KARUME
▶︎

DAKIKA 25 ZA MOTO WA MANSOOR YUSUF HIMID AMGUSA PIA MZEE KARUME

@officialactwazalendotv LEO HII TENA NIRUDI #CCM ABADANI TUMEKUCHOKENI #ACT #MANSOUR #KIJICHI
▶︎

@officialactwazalendotv LEO HII TENA NIRUDI #CCM ABADANI TUMEKUCHOKENI #ACT #MANSOUR #KIJICHI

@officialactwazalendotv WAO WALIONA WAMEM FEDHEHESHA BALI ILIKUWA NI KUMPA UJASIRI NA KUWAJUZA UMMA
▶︎

@officialactwazalendotv WAO WALIONA WAMEM FEDHEHESHA BALI ILIKUWA NI KUMPA UJASIRI NA KUWAJUZA UMMA

Mansour atema cheche kwenye mkutano wa ACT Unguja
▶︎

Mansour atema cheche kwenye mkutano wa ACT Unguja

Jussa Awapiga Vijembe CCM, Asema Wamekiuka Kanuni na Katiba Yao. Asema Ataibua Kashfa 60 za Ufisadi
▶︎

Jussa Awapiga Vijembe CCM, Asema Wamekiuka Kanuni na Katiba Yao. Asema Ataibua Kashfa 60 za Ufisadi

#LIVE: UFUNGUZI WA KAMPENI ZA URAIS ACT-WAZALENDO - PEMBA
▶︎

#LIVE: UFUNGUZI WA KAMPENI ZA URAIS ACT-WAZALENDO - PEMBA

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story
▶︎

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

LIVE🔴PRESS CONFERENCES OFFISI YA ACT WAZALENDO VUGA MDA HUU MWANASHERIA MKUU WA CHAMA AKIONGEA #OSS
▶︎

LIVE🔴PRESS CONFERENCES OFFISI YA ACT WAZALENDO VUGA MDA HUU MWANASHERIA MKUU WA CHAMA AKIONGEA #OSS

Maneno mazito aliyoyasema Nassor Ahmed Mazrui baada ya kimya kirefu
▶︎

Maneno mazito aliyoyasema Nassor Ahmed Mazrui baada ya kimya kirefu

HECHE" IKIPATIKANA KATIBA MPYA TUPO TAYARI KWA UCHAGUZI"
▶︎

HECHE" IKIPATIKANA KATIBA MPYA TUPO TAYARI KWA UCHAGUZI"

🔴#LIVE:  MKUTANO WA HADHARA WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO JIMBO LA MPENDAE
▶︎

🔴#LIVE: MKUTANO WA HADHARA WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO JIMBO LA MPENDAE

FULL SPEECH: Michelle Obama at opening of Barack Obama Presidential Center
▶︎

FULL SPEECH: Michelle Obama at opening of Barack Obama Presidential Center

🔴LIVE:CHADEMA WAITIKISA MPANDA MJINI WASEPA NA KIJIJI, HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO
▶︎

🔴LIVE:CHADEMA WAITIKISA MPANDA MJINI WASEPA NA KIJIJI, HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO

LIVE🔴:  MAELFU WAFURIKA MAPOKEZI YA WAGOMBEA URAIS WA ACT - WAZALENDO - PEMBA
▶︎

LIVE🔴: MAELFU WAFURIKA MAPOKEZI YA WAGOMBEA URAIS WA ACT - WAZALENDO - PEMBA

@officialactwazalendotv HIVI MNAFAHAMU KUWA MUUNGANO HAUPO KABISA KWA NAMNA HII #OMO #ACT #ZANZIBAR
▶︎

@officialactwazalendotv HIVI MNAFAHAMU KUWA MUUNGANO HAUPO KABISA KWA NAMNA HII #OMO #ACT #ZANZIBAR