LIVE: CCM KUNA NINI? KENANI ATOA ONYO | ASKOFU BAGONZA AIBUKA NA KAULI YA YUDA | MSIGWA CHADEMA

LIVE: CCM KUNA NINI? KENANI ATOA ONYO | ASKOFU BAGONZA AIBUKA NA KAULI YA YUDA | MSIGWA CHADEMA CCM kuna nini? Leo tunachambua matukio makubwa yaliyotikisa siasa za Tanzania ndani ya saa chache zilizopita. Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu atoa onyo kali kwa wabunge waliokwenda Morocco bila vibali rasmi, huku mjadala wa “Yuda Iskariote” ulioanzishwa na Mbunge Simai Mohammed Said ukiendelea kuzua maswali makubwa ndani na nje ya Bunge. Katika video hii pia tunachambua kauli nzito za Askofu Benson Bagonza kuhusu taharuki ya kisiasa, msimamo wa Jumuiya ya Wazazi CCM, kauli za Ally Hapi kuhusu kuondoka kwa Peter Msigwa, pamoja na onyo kali la Kenani Kihongosi kwa viongozi wanaojiona wakubwa kuliko chama. Je, hizi ni dalili za mpasuko ndani ya CCM? Je, Yuda anayetajwa ni nani? Na nini kinaendelea kuelekea siasa za Tanzania 2030? TAZAMA UCHAMBUZI HUU HADI MWISHO. 🔴 Mada Kuu: ✔️ Spika atoa siku 4 kwa wabunge kujieleza ✔️ Simai Mohammed Said na sakata la Yuda ✔️ Askofu Bagonza aingilia mjadala ✔️ CCM yajitenga na kauli za Simai ✔️ Peter Msigwa na sababu za kuondoka CCM ✔️ Kenani Kihongosi atoa onyo kali Usisahau: 👍 Like 🔔 Subscribe 💬 Toa maoni yako: Unadhani nini kinaendelea ndani ya CCM? #CCM #Simai #Yuda #SiasaTanzania #Bunge #Samia #PeterMsigwa #KenaniKihongosi #Tanzania #Chadema #SiasaZaTanzania #HabariZaLeo #CCM2026 #TunduLissu

🔴#LIVE; SAKATA LA MBUNGE SIMAI KUHUSU YUDA LAIBUA MAPYA/MWANDISHI MKONGWE MAYALA AFICHUA SIRI
▶︎

🔴#LIVE; SAKATA LA MBUNGE SIMAI KUHUSU YUDA LAIBUA MAPYA/MWANDISHI MKONGWE MAYALA AFICHUA SIRI

KIMENUKA BUNGENI! Onyo Kali la Spika Zungu kwa Mbunge wa CCM aliyesema "SIGRADA HAJITAMBUI"
▶︎

KIMENUKA BUNGENI! Onyo Kali la Spika Zungu kwa Mbunge wa CCM aliyesema "SIGRADA HAJITAMBUI"

🔴#LIVE: RAIS SAMIA ANAZUNGUMZA MBELE YA PUTIN WA URUSI MUDA HUU JIJINI MOSCOW
▶︎

🔴#LIVE: RAIS SAMIA ANAZUNGUMZA MBELE YA PUTIN WA URUSI MUDA HUU JIJINI MOSCOW

🔴#Live: BABA LEVO BILA UWOGA BUNGENII/AIBANA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI/AMLILIA WAZIRI GWAJIMA
▶︎

🔴#Live: BABA LEVO BILA UWOGA BUNGENII/AIBANA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI/AMLILIA WAZIRI GWAJIMA

LIVE : CLOUDS 360 NA MCHUNGAJI PETER MSIGWA  I MASTORI YA TOWN I UCHAMBUZI WA MAGAZETI I 03.06.2026.
▶︎

LIVE : CLOUDS 360 NA MCHUNGAJI PETER MSIGWA I MASTORI YA TOWN I UCHAMBUZI WA MAGAZETI I 03.06.2026.

MUBASHARA: UFUNGUZI WA NYUMBA ZA MAKAZI YA ASKARI POLISI MKOA WA POLISI TARIME RORYA
▶︎

MUBASHARA: UFUNGUZI WA NYUMBA ZA MAKAZI YA ASKARI POLISI MKOA WA POLISI TARIME RORYA

🔴#LIVE: EXCLUSIVE: MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA MAZITO -SABABU KURUDI CHADEMA TUME ya CHANDE -CCM KWEMA?
▶︎

🔴#LIVE: EXCLUSIVE: MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA MAZITO -SABABU KURUDI CHADEMA TUME ya CHANDE -CCM KWEMA?

Kwanini Rais Samia wa Tanzania ameenda kukutana na Putin wa Urusi?
▶︎

Kwanini Rais Samia wa Tanzania ameenda kukutana na Putin wa Urusi?

CHAOS IN PARLIAMENT: MP SINGRADA DEFENDED BY SPEAKER ZUNGU / WARNED AGAINST MENTIONING THE PRESID...
▶︎

CHAOS IN PARLIAMENT: MP SINGRADA DEFENDED BY SPEAKER ZUNGU / WARNED AGAINST MENTIONING THE PRESID...

#LIVE: Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa Tatu, Kikao cha Arobaini na Nne - Juni 5, 2026
▶︎

#LIVE: Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa Tatu, Kikao cha Arobaini na Nne - Juni 5, 2026

🔴#LIVE: BUNGE LA BAJETI, WABUNGE WANAIKAANGA SERIKALI BUNGENI MUDA HUU
▶︎

🔴#LIVE: BUNGE LA BAJETI, WABUNGE WANAIKAANGA SERIKALI BUNGENI MUDA HUU

LEMA, BAGONZA, SUMAYE WATEMA CHECHE, SAKATA LA YUDA WA SERIKALI
▶︎

LEMA, BAGONZA, SUMAYE WATEMA CHECHE, SAKATA LA YUDA WA SERIKALI

🔴#LIVE:CHADEMA WANAUNGURUMA MUDA HUU KILWA MAELFU WAFURIKA
▶︎

🔴#LIVE:CHADEMA WANAUNGURUMA MUDA HUU KILWA MAELFU WAFURIKA

🔴#LIVE: WAZIRI MKUU ANATUMBUA MAJIPU ITIGI - MAKONGOROSI
▶︎

🔴#LIVE: WAZIRI MKUU ANATUMBUA MAJIPU ITIGI - MAKONGOROSI

RUTO ANATUONA KAMA WAJINGA! KWANI UTATESA WAKENYA MPAKA LINI?" ANGRY KIBERENGE UNDRESSES RUTO!!!
▶︎

RUTO ANATUONA KAMA WAJINGA! KWANI UTATESA WAKENYA MPAKA LINI?" ANGRY KIBERENGE UNDRESSES RUTO!!!

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.
▶︎

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

MBUNGE WA CHAUMMA ,SIGRADA MLIGO AZUA TAHARUKI BUNGENI WAKATI AKITOA SOMO  LA  MIGOGORO YA ARDHI.
▶︎

MBUNGE WA CHAUMMA ,SIGRADA MLIGO AZUA TAHARUKI BUNGENI WAKATI AKITOA SOMO LA MIGOGORO YA ARDHI.

#LIVE: LUHAGA MPINA ANAFUNGUKA MAZITO TUSIYOYAJUA MUDA HUU
▶︎

#LIVE: LUHAGA MPINA ANAFUNGUKA MAZITO TUSIYOYAJUA MUDA HUU

Ado Shaibu Amewaonya Wabunge wa CCM kuacha kampeni Mapema Za 2030 na Kuwataka Wafanye kazi.
▶︎

Ado Shaibu Amewaonya Wabunge wa CCM kuacha kampeni Mapema Za 2030 na Kuwataka Wafanye kazi.

🔴Samia Amjibu Nchimbi Kujiuzulu, Mkutano wa Dharura ikulu CCM muda huu, Wajitenga na Matamshi “YUDA”
▶︎

🔴Samia Amjibu Nchimbi Kujiuzulu, Mkutano wa Dharura ikulu CCM muda huu, Wajitenga na Matamshi “YUDA”