KAWAIDA AIBUA MAPYA YA MIKOPO "HARAKISHENI MIKOPO MLIOSITISHA VIJANA WAKOPE, TOKENI MAOFISINI"
Chama cha Mapinduzi CCM kimeiomba Ofisi ya Rais -TAMISEMI kuharakisha mchakato wa utoaji wa mikopo ya asilimia 10 iliyositishwa ilikupisha maboresho ya utoaji wa mikopo hiyo ambapo pia ameiomba Serikali kuwapa Vijana kipaumbele kwenye miradi mbalimbali. Akiongea na Wakazi wa Mbagala Jijini Dar es salaam, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Ali Kawaida ameiomba amesema “Niiombe Serikali, ipo Wizara imepewa utaratibu wa kuandaa mikopo kuendelea kutoka kwa Vijana, kwa sasa imesimama ili kuandaa utaratibu mzuri, Vijana tuweze kukopa, niwaombe waharakishe utaratibu huu ili Vijana tuendelee kukopa, na niombe ikianza kutoka iende kwa Vijana waliokusudiwa bila ya upendeleo" "Tuwape mikopo Vijana wenye dhamira na nia wameonesha wanataka mikopo ya kujiendeleza, tuwape mikopo kwa utayari wao na sio kwasababu ya kujuana kwetu lakini kuna Vijana hawatambui inatokaje, kuna Watu tunawalipa mishahara kila mwezi, acheni kukaa ofisini nendeni mkawaeleze Vijana ni namna gani watapata mikopo hii" "Niiombe Serikali inapotokea miradi na vitu mbalimbali Watu wa kwanza kuwapa kipaumbele wawe Vijana wa Kitanzania ili wapate ajira zao na mitaji yao na mikopo hii waweze kurejesha kwa muda:

MWANZO MWISHO TUKIO MTOTO ALIYEMUUA BABA YAKE NA BABU, KABURI CHUMBANI, “INATISHA AMEKIRI”

Tazama wanawake wanavyolia na mikopo ya Kausha Damu Jijini Arusha.

Mwanasheria Mkuu CHADEMA amjibu waziri Katambi zuio la Mikutano vyama vya siasa.

UCHAMBUZI NA SABABU ZA MIKOPO YA KAUSHA DAMU INAVYOHARIBU NDOA NA MAISHA YA WATU NCHINI.

P5 YA KAYUMBA NYAMWASA IRI KU RUGAMBA MU MINEMBWE || IMIRWANO YUBUYE MU ISURA NSHYA.

MIKOPO YA VIJANA NA WANAWAKE, SERIKALI YAJIBU “VIJANA WANAONGOZA KUTOLIPA KWA WAKATI”

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

MTANZANIA AACHA KAZI BENKI na KUANZISHA KAMPUNI KUBWA ya MIKOPO PROSHARE - UNAPEWA MIL 1 - 100 CHAP

TUNAWATAMBUA WAKOPESHAJI WANNE TU MIKOPO YA MITANDAONI

SAKATA LA MIKOPO YA 'KAUSHA DAMU', WAZIRI MWIGULU, NAPE WABANANISHWA VIKALI BUNGENI

VIJANA WATAKIWA KIWA WAAMINIFU PINDI WANAPOPEWA PESA ZA MIKOPO KUTOKA HALMASHAURI...

Shuhuda wa "mkopo kausha damu" asimulia madhila yaliyomsibu

#KOROGWE# BENK YA NMB YAENDELEA KUMWAGA MIKOPO YA BAJAJI NA PIKIPIKI

MIKOPO KAUSHA DAMU YAZUA GUMZO MTAANI, WAATHIRIWA WAPAZA SAUTI

BOT yatoa mwongozo kwa wakopeshaji

MIKOPO ya KAUSHA DAMU, KICHEFUCHEFU na KOMANDOO YATAJWA BUNGENI - "UDHALILISHAJI"...

#TBCDIGITAL: MIKOPO YA HALMASHAURI YASUBIRI MAJIBU YA RAIS

VIKUNDI 21 VYAPATA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 59,PIKIPIKI NA FEDHA YA TASLIMU

Michelle Obama speech brings tears to Barack | Watch it in full

