VIKUNDI 21 VYAPATA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 59,PIKIPIKI NA FEDHA YA TASLIMU
Halmashauri ya Wilaya Mtama iliyo katika wilaya na Mkoa wa Lindi imetoa mikopo yenye thamani ya Sh 59,600,000 kwa vikundi 21 vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu. Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, George Mbilinyi amesema vikundi 8 vya vijana vilikopeshwa pikipiki, vikundi 10 vya wanawake vilikopeshwa fedha na vikundi vitatu vya walemavu vilipewa fedha. Mbilinyi alisema kwamba mikopo imetolewa kwa mujibu wa sheria inayogusa mikopo ya halmashauri inayotokana na makusanyo ya ndani ambapo Halmashauri zinapaswa kutenga asilimia 10% ya mapato yake ya ndani yanayotokana na vyanzo vyake kwa ajili ya kukopesha vikundi vya Wajasiriamali vya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu. Vikundi vya vijana vilivyokabidhiwa mikopo ya pikipiki vinatoka Namupa, Majengo na Mtama. Pikipiki zote hizo zinathamani ya Sh 27,500,000 Akikabidhi pikipiki hizo na fedha kwa vikundi hivyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack, Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga aliwataka wajasirimali walikopa kuhakikisha kwamba wanafanyia kazi zilizokusudiwa ili kujiinua kimapato na kurejesha fedha hizo ili zitumike kuwakopesha wengine. KARIBU COM TV , Television ya Mtandaoni ambayo imejidhatiti katika kuakikisha unapata habari ,Matukio ,Burudani za ndani na nje ya Tanzania kwa uharaka na uwakika. Unaweza kutupata kwenye mitandao ya kijamii kama hivi INSTAGRAM : https://www.instagram.com/p/CPIn1ZNhB... #COM TV #Comtv #Com Tv #LINDI #Tanzania #Liwale #habari #michezo #COM TV #Comtv #Com Tv #COM TV, #Comtv, #Com Tv

''NJOO TAKUPA PIKIPIKI - UKIPATA PESA MPE MKEO'' - DC MAGOTI AKOSHWA na JAMAA HUYU KWA MANENO YAKE

#KOROGWE# BENK YA NMB YAENDELEA KUMWAGA MIKOPO YA BAJAJI NA PIKIPIKI

JINSI YA KUPATA MKOPO WA HALMASHAURI USIO NA RIBA

JIONEE PIKIPIKI BAJAJ GUTA TULIZONAZO

ASKARI WAPYA JWTZ WAAGIZWA KULINDA WANANCHI NA TAIFA

MNADA WA KWANZA LINDI MWAMBAO BEI 2740 2610

Piki piki inayopunguza gharama na safi kwa mazingira

WAKULIMA WA PAMBA IGUNGA KUNUFAIKA NA MALIPO YA KIDIJITALI, KUAGA ENZI ZA KUBEBA FEDHA TASLIMU

KAMA UNAKAA JENGENIJENGENI SIKILIZA SWALI HILI NA MAJIBU YAKE

Gulf state CONDEMNS Iranian drone attack: 'FLAGRANT THREAT'

CHUNYA YAENDELEA KUWAINUA WANANCHI KIUCHUMI, YATOA HUNDI YA ZAIDI YA MILIONI 400 KWA VIKUNDI.

Venezuelans search for survivors of deadly quake

Crimea declares state of emergency after Ukrainian drone strikes

Unbelievable Boat and Ship Accidents Caught on Camera

KIJANA WA KIGOMA ATENGENEZA PIKIPIKI YAKE INAWAKA "NAPIGA HELA KILA SIKU"

BODYBUILDERS Laughed at Him Again… Until Anatoly Was ATTACKED 😱💪🧹 | Gym Prank GONE Wild

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

People Who Messed With The Royal Guard and Regretted It!

Cleaner DESTROYS bodybuilder’s Ego in 10 Seconds 😳 | Anatoly GYM PRANK

