Mkuu wa Shule Dar achunguzwa madai ya udhalilishaji wanafunzi
Baadhi ya wanafunzi wa kike katika shule ya Sekondari Makumbusho wamelalamikia vitendo vya kunyanyaswa kingono na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Juma Mulindani. Malalamiko hayo yaliyosababisha wanafunzi wanne wa kike kuacha shule, yameungwa mkono na baadhi ya wazazi waliokiri kupokea malalamiko kutoka kwa watoto wao huku mwingine akiamua kumhamisha bintiye shule. Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi kwa siku kadhaa, umebaini wanafunzi hao wamekuwa wakiitwa katika ofisi ya mwalimu huyo na kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji ikiwemo kushikwa maungo yao, hali ambayo huwafadhaisha baadhi yao. Alipotafutwa mkuu huyo wa shule kujibu tuhuma zinazomkabili amesema, "Siwezi kuzungumza chochote kwa sasa kwa maana tayari natuhumiwa, sipo kwenye nafasi nzuri ya kuzungumza labda mkuu wangu anaweza kuelezea jambo hilo."

KIVUMBI! POLISI WATINGA NA BUNDUKI KUZUIA NDOA YA MWANAFUNZI ALIYEKUWA AKIOZESHWA KWA LAZIMA

MWANAFUNZI MTUKUTU (PART 1)

MWALIMU ADAIWA KUFANYIA WATOTO 8 UKATILI WA KINGONO DAR ES SALAAM.

SHULE PEKEE YA SERIKALI ILIYOINGIA 10 BORA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE, "TUKO WAKALI KULIKO"

Mwalimu Mkuu Mahakamani

#Live: RAIS SAMIA AKISHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA BENKI KUU YA TANZANIA, JNICC DAR ES SALAAM

DAAAAH ! Mwalimu Mkuu afungiwa Ofisini na Walimu

Inside Little Mogadishu in Uganda, Somali city away from Somalia 🇸🇴

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

The Local Woman Shows Me Kampala From The Biggest Mosque In East Africa - Uganda 🇺🇬

BINTI WA MIAKA 8 MWENYE KIPAJI CHA AJABU | AICHAMBUA SAYANSI NDANI YA QURAN | HAYTHAM BINT KHAMIS

Wananchi Vijibweni waibua kero za barabara, shule na migogoro ya ardhi mbele ya Chalamila

"Mkataba wa Uwekezaji wa Bandari DP WORLD ufutwe " - Maaskofu watoa tamko zito, Rais Samia atajwa

RSA TANZANIA YATEMBELEA SHULE ZA UZURI NA KILIMANI KUTOA ELIMU YA USALAMA BARABARANI

MWANA FA AFICHUA YA MAREHEMU MZEE ONYANGO ENZI ZA UHAI WAKE

BUNGE LA BAJETI | KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU | 15/06/2026

KILIMO AJIRA YANGU-MATUMIZI SAHIHI NA SALAMA YA VIUATILIFU

Marekani na Iran zatangaza makubaliano Israel hatuhusiki

Uganda's 2026/27 National Budget Explained | PSST Ramathan Ggoobi Breaks It Down

