DAAAAH ! Mwalimu Mkuu afungiwa Ofisini na Walimu

Walimu wa shule ya Sekondari Bondeni iliyopo Arusha wamemfungia ndani ya ofisi Mkuu wa shule hiyo, Rahim Massawe Kwa kushindwa kushughulikia malimbikizo ya mishahara yao inayofikia kiasi cha zaidi ya sh, 10 milioni kwa kipindi cha miezi mitatu mfululizo. Wakizungumzia suala hilo waalimu hao wamesema kuwa, wamefikia hatua ya kufanya hivyo kama sehemu ya kushinikiza madai yao ya kulipwa malimbikizo ya mishahara yao ambayo wamekuwa wakiidai kwa kipindi kirefu bila mafanikio Mwalimu Rose Sechume amesema kuwa, shule hiyo hapo awali wakati ikiendeshwa na Bakwata mkoani hapa walikuwa wakilipwa mishahara yao bila shida yoyote ila tangu wameingia ubia na mwekezaji wa kampuni ya Zaim Education development Ltd ambayo ilikabidhiwa shule hiyo tangu septemba mwaka huu mambo mengi yamekuwa hayaendi likiwemo suala la malipo yao . Mkuu wa shule hiyo ,Rahim Abbas Massawe ambaye amefungiwa ndani ya ofisi akizungumzia swala hilo kupitia dirisha la ofisi hiyo amesema kuwa, yeye binafsi aliwaita walimu hao Ofisini kwake kuzungumzia swala hilo lakini ameshangaa wanashindwa kufikia muafaka na kuamua kumfungia ndani ya ofisi, na kuongeza kuwa tatizo la walimu hao hawamtambui wanayemdai.

MAPYA YAIBUKA: MWALIMU ALIYELAWITIWA NA MWANAFUNZI, HAKUBAKWA, ALIJITAKIA
▶︎

MAPYA YAIBUKA: MWALIMU ALIYELAWITIWA NA MWANAFUNZI, HAKUBAKWA, ALIJITAKIA

WANAFUNZI WAWILI WALIOFARIKI BAADA YA CHUMBA CHAO KUCHOMWA MOTO, MWENYEKITI WA MTAA ASIMULIA
▶︎

WANAFUNZI WAWILI WALIOFARIKI BAADA YA CHUMBA CHAO KUCHOMWA MOTO, MWENYEKITI WA MTAA ASIMULIA

KIONGOZI ALIYESEMA SATO, KAMBARE WANINI AFUNGUKA ZNZ HAIHITAJI SATO, SOKONI HAWAPO VIJANA WAWEZESHWE
▶︎

KIONGOZI ALIYESEMA SATO, KAMBARE WANINI AFUNGUKA ZNZ HAIHITAJI SATO, SOKONI HAWAPO VIJANA WAWEZESHWE

MAMA ALIYEZUIA KIJANA KELVIN ARUSHA ASIUAWE AKABIDHIWA MILIONI  TATU NA NUSU, KANISA KUJENGWA SIKU 3
▶︎

MAMA ALIYEZUIA KIJANA KELVIN ARUSHA ASIUAWE AKABIDHIWA MILIONI TATU NA NUSU, KANISA KUJENGWA SIKU 3

Sakata la Mwalimu Mkuu Kagera, waliocheka pia kuwajibishwa.
▶︎

Sakata la Mwalimu Mkuu Kagera, waliocheka pia kuwajibishwa.

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.
▶︎

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

EXCLUSIVE: MMILIKI WA SHULE ZA KAIZEREGE/KEMEBOS, KAISHIA LA 7, KANUNUA SCANIA MARCOPOLO 7
▶︎

EXCLUSIVE: MMILIKI WA SHULE ZA KAIZEREGE/KEMEBOS, KAISHIA LA 7, KANUNUA SCANIA MARCOPOLO 7

ATHARI ZA QNET || Walimu wanane wafutwa kazi kwa utoro kazini
▶︎

ATHARI ZA QNET || Walimu wanane wafutwa kazi kwa utoro kazini

SUNGU SUNGU WAWEPO KILA MTAA DAR, VURUGU ZIKITOKEA KWENYE HUU MKOA TUTAKOSA CHAKULA" RC CHALAMILA
▶︎

SUNGU SUNGU WAWEPO KILA MTAA DAR, VURUGU ZIKITOKEA KWENYE HUU MKOA TUTAKOSA CHAKULA" RC CHALAMILA

BABA FELISTER: MWANANGU AMECHOMWA MOTO WA MAFUTA YA TAA, WOTE WALIUNGUA KWA ASILIMIA 80
▶︎

BABA FELISTER: MWANANGU AMECHOMWA MOTO WA MAFUTA YA TAA, WOTE WALIUNGUA KWA ASILIMIA 80

GARAGE ZOTE DAR CHALAMILA AAGIZA VYUMA CHAKAVU KANDO KANDO YA BARABARA VIONDOLEWE MJI UWE MSAFI
▶︎

GARAGE ZOTE DAR CHALAMILA AAGIZA VYUMA CHAKAVU KANDO KANDO YA BARABARA VIONDOLEWE MJI UWE MSAFI

Waliogomea uhamisho wahamishwa
▶︎

Waliogomea uhamisho wahamishwa

MWANAFUNZI AFUNGWA MNYORORO NA KULAZWA DARASANI NA MWALIMU MKUU KISA UTORO
▶︎

MWANAFUNZI AFUNGWA MNYORORO NA KULAZWA DARASANI NA MWALIMU MKUU KISA UTORO

MBUNGE SHABIBY AKOSOA LESENI KWA BODABODA “TSH 183,000 NI WIZI WA KIJINGA!”
▶︎

MBUNGE SHABIBY AKOSOA LESENI KWA BODABODA “TSH 183,000 NI WIZI WA KIJINGA!”

MAMA ALIYEMUOKOA KELVIN ASIUAWE ACHUKIZWA, AMTAKA MAMA YAKE AONGEE UKWELI " HUWEZI KUSEMA HAPANA"
▶︎

MAMA ALIYEMUOKOA KELVIN ASIUAWE ACHUKIZWA, AMTAKA MAMA YAKE AONGEE UKWELI " HUWEZI KUSEMA HAPANA"

KATAMBI AONYA VIKALI BIASHARA YA MADANGURO NA USHOGA “HATUTAVUMILIA VITENDO VINAVYOKIUKA MAADILI”
▶︎

KATAMBI AONYA VIKALI BIASHARA YA MADANGURO NA USHOGA “HATUTAVUMILIA VITENDO VINAVYOKIUKA MAADILI”

MAAGIZO MAZITO KWA WALIMU WAKUU, WATAKIWA KUSIMAMIA IPASAVYO USTAWI WA ELIMU NCHINI, ADEM YAWANOA.
▶︎

MAAGIZO MAZITO KWA WALIMU WAKUU, WATAKIWA KUSIMAMIA IPASAVYO USTAWI WA ELIMU NCHINI, ADEM YAWANOA.

Mkuu wa Shule Dar achunguzwa madai ya udhalilishaji wanafunzi
▶︎

Mkuu wa Shule Dar achunguzwa madai ya udhalilishaji wanafunzi

EXCLUSIVE: NYUMBANI KWA MZEE MPILI, MAAJABU YA MAISHA YAKE “BABA KANIFANYIA UHUNI”
▶︎

EXCLUSIVE: NYUMBANI KWA MZEE MPILI, MAAJABU YA MAISHA YAKE “BABA KANIFANYIA UHUNI”

MWALIMU ALIEKATWA PANGA NA MWANAFUNZI "NI MTORO"
▶︎

MWALIMU ALIEKATWA PANGA NA MWANAFUNZI "NI MTORO"