JAI KWA KUSHIRIKIANA NA WAHISANI WAFIKA MATEMWE KIJINI KUTOA FARAJA

@NoursalamPembatv Karibu kwenye Madrasa yetu. Sisi si tu tunafundisha Qur’an na dini, bali pia tunawajengea wanafunzi ujuzi wa maisha kwa miradi ya: · Kilimo cha kisasa · Welding (Fundi wa vyuma) · Ufundi wa alumunium (madirisha, milango, na zaidi) Lengo letu ni kuzalisha kizazi chenye elimu ya dini na uhodari wa kazi za mikono. Tunaamini kuwa madrasa inapaswa kuwa chuo cha maisha. Jiunge nasi kujenga jamii yenye uwezo na imani. Kwa mahitaji au kushirikiana: +255 778 132 126