TEA YAPONGEZWA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU TANZANIA BARA NA Z'BAR
Mkurugenzi wa Idara ya Elimu Mbadala na Elimu ya Watu Wazima Zanzibar, Bi. Mashavu Ahmada Fakih, ameipongeza Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha sekta ya elimu nchini, huku akiwataka wadau wa maendeleo na wananchi kuendelea kuchangia Mfuko wa Elimu ili kuongeza ubora wa elimu kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Bi. Mashavu ametoa pongezi hizo alipotembelea banda la TEA katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) ambapo amesema mamlaka hiyo imeendelea kuwa mshirika muhimu wa Serikali katika kuhakikisha kila Mtanzania anapata haki yake ya elimu bila kujali mahali anapoishi. Pia, amesema mamlaka hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kuboresha miundombinu ya elimu Tanzania Bara na Zanzibar hali ambayo imeongeza ubora wa mazingira ya kufundishia na kujifunzia. 1h

HIVI NDIVYO TEA HUFANYA KUZINGATIA UBORA WA MIRADI YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU

TAZAMA ALICHOKIFANYA MUSTAFA HASSANALI KWA MWANAFUNZI HUYU....!!!!! AAHIDI HAYA..

TEA YAZIDI KULETA MABADILIKO SEKTA YA ELIMU NCHUNI, S/MSINGI MEDELI YAPONGEZA

TBS yawafikia mamia ya wajasiriamali katika maonesho ya sabasaba

BALAA WAZIRI KATAMBI HANA PAKUTOKEA SAKATA LA ZUIO LA MIKUTANO/WADAU WAMKALIA KOONI AFUNGULIWA KESI

HIVI NDIVYO 'TEA' ILIVYOIBUA MATUMAINI SHULE YA MSINGI MLIMWA C JIJINI DODOMA

TEA YAWAITA WADAU KUCHANGIA MFUKO WA ELIMU

Wadau Wasisitiza Utekelezaji wa Maazimio ya Jumuiya ya Madola Juu ya Mkwamo wa Kisiasa Tanzania

Can Trump win a trade war with China? - The Global Story podcast, BBC World Service

TAZAMA MNUFAIKA ALIVYOIFUATA TEA WIKI YA UTUMISHI 2026, AFUNGUKA HAYA

Black and White Abstract art for Frame TV | Smart TV paintings | screensaver without music

PAUL BRAND ALIYETREND HARUSI YA KATORO AMEANIKA DM MASTAA WANAOTAKA KWENDA KATORO, SIMJUI HARMONIZE

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA

I learned this eggplant recipe in Sardinia! Easy, cheap and so delicious!

Legendary reporter Anat Saragusti on censorship & press freedom in Israel - Jung & Naiv: Episode 836

MZAZI ASHANGAZWA NA UWEZO WA MWANAE 🤩 AISHUKURU TEA // ATOA WITO KWA WAZAZI WENGINE

JE, UNAZIFAHAMU FAIDA ZA KUCHANGIA MFUKO WA ELIMU WA TAIFA? TAZAMA HII

"BI. DACHI: TUCHANGAMKIE FURSA ZA AFCON 2027"

JE, UNAZIFAHAMU FAIDA ZA KUCHANGIA MFUKO WA ELIMU WA TAIFA?

"Rapist Can't Represent Nigeria" Oshiomole Rejects Tinubu's Nominee

HUU HAPA UJUZI UNAOLETA PESA // MNUFAIKA WA SDF KUPITIA TEA ASIMULIA // AAJIRI WENGINE..

100 House Democrats vote to cut off Israel aid, showcasing major divide

MWENYEKITI BARAZA LA UONGOZI NACTVET, TANZANIA YA VIWANDA INAWEZEKANA.!

