JESHI LA CONGO LIKIPAMBANA NA WAASI LIVE

Jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya Congo limefanikiwa kuzima shambulizi la kundi la waasi la allied democratic forces ADF, kufuatia operesheni iliyofanyika katika wilaya ya Beni, eneo la Rwenzori. Watoto na wanawake kadhaa wameokolewa, anavyoripoti mwandishi wetu Austere Malivika.