Wakazi wakimbia vita kati ya majeshi ya DRC na waasi wa M23
Wakazi wa maeneo mbalimbali ya vijiji vilivyo karibu na Kibumba karibu na pori la Virunga nchini DRC wanakimbia kutokana na mapigano yanayoendelea kati ya majeshi ya Serikali na waasi wa M23. Hii ni baada ya majeshi ya serikali kurudi nyuma na hivyo kuwalazimu raia hao kuhama vijiji vyao wakihofia kupoteza maisha yao. Ungana na mwandishi wetu akiwahoji wakazi hao... - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.

JESHI LA CONGO LAZUIA UVAMIZI WA WAASI KATIKA MJI WA GOMA

DRAMA!! Listen to what Sifuna told Gladys Wanga face to face after meeting in senate committee!

TAZAMA JESHI la CONGO WAKIRUSHIANA RISASI na WAASI Waliovamia MTAA - "WAMEDHIBITIWA"

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE MAPENZI YA KWELI KWAKO

Matumiza ya Mboleya ya maji aina ya #Booster #keen.feeders.ltd

UPDF WAR IN CONGO MORE MORE ADF REBELS KILLED

DAWA YA RUTO!! Watch how John Methu held Big Rally in Ol Kalou to campaign for DCP Candidate!

Mapigano ya M23 yamesababisha hali ya miasha klua magumu kwa maelfu ya wakazi wa mashariki ya Congo.

KINACHOENDELEA DRC: WAASI wa M23 WAKUBALI KUONDOKA RUMANGABO - ''TUMEIKAMATA KWA DAMU''...

FLDR combatants captured by M23

Wananchi waandamana DRC, washinikiza jeshi la Kenya kuondoka

Inside M23 - the rebel militia now running eastern DR Congo

Vita inayoendelea kati ya FARDC na waasi nchini DRC.

Wanawake wa Congo kutoka kabila la wa tutsi wahofia usalama wao mjini Goma

JESHI LA CONGO LIKIPAMBANA NA WAASI LIVE

MAPIGANO MAKALI JESHI LA CONGO DR NA M23

Viongozi wa majeshi ya SADC wakutana GOMA

MAPIGANO MAKALI YAENDELEA MASHARIKI MWA CONGO

Usalama na wasiwasi BBeni mbau

