MFUMO WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WOTE.(Usihangaike kutafuta wakubadilishana nae unapoteza mda)

Ofisi ya rais tamisemi imetoka video ya namna ya kuomba uhamisho kupitia mfumo WA kielecronic. ambapo Kwa sasa mambo yote yataishia online. huna haja ya kuhangaika kutafuta WA kubadilishana nae kwani huko ni kupoteza mda. Kila kitu kinatakiwa kujazwa online. na kitakamilika online hukohuko.