RC MHITA AFUNGUA MGODI WA NYANDOLWA ULIOUA BAADA YA UKAGUZI NA UKARABATI
Serikali Mkoa wa Shinyanga imeruhusu kampuni ya HHH and Partners kuendelea na uchimbaji wa madini katika eneo la Nyandolwa baada ya kusimamishwa kufuatia ajali ya Agosti 11, 2025 iliyosababisha mafundi 25 kufukiwa. Akizungumza kwa niaba ya Serikali Leo Februari 19,2026, Mkuu wa Mkoa, Mhe. Mboni Mhita, amesema uamuzi huo umefanyika baada ya ukaguzi wa kina uliofanywa na wataalamu wakiongozwa na Mkaguzi Mkuu wa Migodi nchini. Kati ya maduara 26 ya HHH, saba pekee yameruhusiwa kuendelea na uzalishaji huku 19 yakifungwa kutokana na sababu za kiusalama. Serikali imesisitiza wamiliki kuzingatia kikamilifu taratibu na miongozo ya usalama ili kuzuia maafa kujirudia. Menejimenti ya mgodi imeishukuru Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuufungulia mgodi huo, ikieleza kuwa hatua hiyo itarejesha ajira na kuinua uchumi wa wananchi wa eneo hilo.

Waziri Mkuu, leo Julai 1, 2026 Akisikiliza kero za wananchi mkoani Mara.

RC MHITA AELEZA KINACHOENDELEA MGODI WA NYANDOLWA

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

RC Mhita Azindua Mpango wa Kitaifa wa Ugawaji wa Mbegu Bora kwa Wakulima Msimu wa 2025/2026

Cleaner Anatoly Pretends to Be an Old Man in the Gym

A Side of Jamaica The Media Won't Show You!

SHINYANGA YANG'ARA SIKU YA USAFISHAJI DUNIANI — RC MHITA AONGOZA USAFI SOKO LA KAMBARAGE

MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

JESHI LA UHAMIAJI LATOA MAFUNZO KWA MAAFISA USAFIRISHAJI

MKUU WA WILAYA AWASHIWA MOTO NA WANANCHI ZANZBAR

NERVOUS 12-Year-Old Who Can Sing Without Opening Her Mouth Earns Mel B's GOLDEN BUZZER!

YOU Won’t Believe This 😱 Homeless 8 Years of Hair & Beard Transformation

Sifuna FULL EXPLOSIVE speech today Destroying Ruto with Babu & Orengo at Linda Mwananchi Kisii

Pro vs Amateur vs Epic Hill Climb

MKUU WA MKOA TANGA AIPONGEZA KILINDI KWA KUPATA HATI SAFI

Frankreich – Schweden Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

SHINYANGA ANNOUNCES INVESTMENT OPPORTUNITIES AT SABASABA 2026

