SHINYANGA YANG'ARA SIKU YA USAFISHAJI DUNIANI — RC MHITA AONGOZA USAFI SOKO LA KAMBARAGE
Katika kuadhimisha Siku ya Usafishaji Duniani Septemba 20, 2025, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mboni Mhita ameongoza mamia ya wananchi kushiriki zoezi la usafi katika Soko la Kambarage, Manispaa ya Shinyanga. Akizungumza na wananchi, Mhe. Mhita amesisitiza umuhimu wa kuzingatia usafi kama sehemu ya maisha ya kila siku na si tukio la mara moja. Ameeleza kuwa soko hilo ni miongoni mwa maeneo yatakayofanyiwa maboresho kupitia mradi wa TACTIC, hivyo kuhitaji maandalizi bora ya mazingira. “Tuache kusubiri maagizo, tufanye usafi kwa kujitambua, kwa afya zetu, kwa heshima ya mji wetu,” amesema RC Mhita. Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Mkoa CP Salum Hamduni amepongeza mwitikio wa wananchi na kutoa wito kwa jamii kuendeleza utamaduni huo kila siku.

RC MHITA AELEZA KINACHOENDELEA MGODI WA NYANDOLWA

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

🔴#BREAKING: WAZIRI wa MAMBO ya NDANI PATROBAS KATAMBI ATOA TAMKO ZITO KUHUSU MAANDAMANO JULAI 7...

BREAKING NEWS SENATOR TOM OJIEDA BLASTS PS RAYMOND OMOLLO LIVE ON CAMERA STOP KILLING KENYANS

RC MHITA AFUNGUA MGODI WA NYANDOLWA ULIOUA BAADA YA UKAGUZI NA UKARABATI

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

Madudu ya POLISI Shinyanga yamewaliza wengi, RPC abanwa, Polisi wameiba Milioni 19 na kutaku kuua

#LIVE: MAKONDA ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA SHINYANGA

RC Mhita Azindua Mpango wa Kitaifa wa Ugawaji wa Mbegu Bora kwa Wakulima Msimu wa 2025/2026

SHINYANGA IKO SALAMA, WANANCHI JITOKEZENI KUPIGA KURA KWA AMANI - RC MHITA

SAKATA LA RPC SHINYANGA WATU KUTEKWA IGP ASHINDWA KUJIZUIA APIGA SIMU MBELE YA MKUTANO WA MAKONDA

NCHIMBI ATIKISA SHINYANGA!! ATOA AHADI NZITO KWA WANANCHI!!

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

SHINYANGA: WATUMISHI WA AFYA MATATANI TUHUMA ZA RUSHWA

Afghanistan most cheap street food | Kabuli pulao | biryani | Roasted chicken | street food

RC MBONI MHITA AWATIMUA KAZINI WAHANDISI 3 SHINYANGA kwa KUSHINDWA KUKAMILISHA MIRADI ya MAENDELEO..

See How a 453kg Giant Bluefin Tuna Is Flawlessly Carved in Seconds

CHADEMA YAPATA WAFUASI WAPYA KUTOKA CCM MKOANI SHINYANGA, MBOWE AWAPOKEA KWA KISHINDO

We are in a bankrupt state. Ruto is running against the economy - Jimi Wanjigi

