ELIMU YA MIKOPO YA 10% ITOLEWE KWA WANANCHI
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Julius Leizer ametoa wito kwa Waheshimiwa Madiwani kushirikana na Serikali katika kutoa elimu ya mikopo ya asilimia kumi inayotolewa kupitia mapato ya Ndani ya Halmashauri ili wakopaji waweze kurejesha mikopo hiyo kwa wakati na kusaidia wengine waweze kunufaika na fursa zinazotolewa na Serikali. Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico amesema hawatawavumilia wale wote wanaohujumu uchumi na kukwamisha jitihada za Serikali katika kuwaletea maendeleo wananchi

▶︎
Governor Prof Njuguna Ndung'u: 2007 - 2015

▶︎
HAMASA YA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA SERIKALI WILAYANI KYERWA

▶︎
HONGERENI KWA KUPATA HATI SAFI-KANALI KIDO

▶︎
RUTO CONCEDES AS SAMMY NGOTHO WINS BY 90% MARGIN IN OLKALAU!

▶︎
AJIRA MPYA KARAGWE WAASWA KUZINGATIA MISINGI 9 YA UTUMISHI, WAONYWA MATUMIZI YA MITANDAO YA KIJAMII.

▶︎
BOT na TRA Waingilia Kati Mabilioni ya Harusi Katoro

▶︎
KAYA 15 ZAKOSA MAKAZI KITEGA – SONGAMBELE BAADA YA NYUMBA ZAO KUEZULIWA NA UPEPO

▶︎
Zaiko Langa Langa à Luanda, Angola | 5 juillet 2026

▶︎
MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

▶︎
CHINA NAE AMEAMUA KUINGIA MZIMA MZIMA SAKATA LA MFEREJI WA HORMUZ | JESHI LA MAREKANI LAWEKA VIZUIZI

▶︎
Africa Suffering Because We Elect The 'Worst' To Lead Us – Lumumba

▶︎
WAJUMBE WA BODI ZA USULUHISHI WA NDOA WILAYANI KYERWA DC WAJENDEWA UWEZO

▶︎
KYERWA KUNUFAIKA NA PROGRAMU YA SCALE

▶︎
ZIATA YA KAMATA TENDAJI YA MRADI WA WUNDERBAR WILAYANI KYERWA

▶︎
#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA

▶︎
RC KAGERA AIPONGEZA MISSENYI KWA KUPATA HATI SAFI 2024/2025, AHIMIZA USIMAMIZI UKUSANYAJI WA MAPATO

▶︎
RIPOTI MAALUM KIKAO CHA KUJADILI UTEKELEZAJI WA MAJIBU YA HOJA ZA CAG BARIADI DC

▶︎
CHEMBA DC YAPATA HATI SAFI UKAGUZI WA CAG MWAKA 2024/2025.

▶︎
FREEDOM TORCH 2026 TO VISIT 7 DEVELOPMENT PROJECTS WORTH OVER 2.2 BILLION SHILLINGS IN MOSHI DC

▶︎
