HAMASA YA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA SERIKALI WILAYANI KYERWA
Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa imeendelea na zoezi la kutoa elimu na kuhamasisha makundi mbalimbali ya wanawake, vijana, watu wenye ulemavu na wajasiriamali kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na Serikali ili kuwakwamua wananchi kiuchumi
