GOOD NEWS: 'UDSM', 'NIT' KUJENGWA BUKOBA, RC CHALAMILA BILA KUJIZUIA AELEZA KWA FURAHA..
GOOD NEWS: 'UDSM', 'NIT' KUJENGWA BUKOBA, RC CHALAMILA BILA KUJIZUIA AELEZA KWA FURAHA.. Mkuu wa Mkoa wa Kagera mh Albert John Chalamila amesem vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini vimekubali kuja kuanza ujenzi wa matawi ya vyuo katika mkoa uwo kikiwemo chuo kikuu cha Dar es Salam na NIT ili kuleta mzunguko wa fedha katika mkoa huo na wanakagera waweze kunufaika na Frusa zitakazotokana na vyuo Chalamila ameyasema hayo wakati akiongea na makundi mbalimbali yakiwepo wamachinga na mama lishe na baba lishe katika kikao maalumu kilichofanyika katika ukumbuki wa Bukoba secondary ulioko manisipaa ya Bukoba kilicholenga kusikiliza kero na changamoto za makundi hayo. Aidha Chalamila amewaomba wananchi wa kagera hasa wasomi na wataalamu mbalimbali kufika ofisini kwake kutoa maoni na mawazo mazuri ambayo yanaweza kusaidia mkoa huo kusonga mbele kimaendeleo. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Dunia Yetu | Leo Mchana | 27.06.2026 | Swahili News

UDSM KUJENGWA KAGERA, ZAIDI ya BILIONI 18 KUTUMIKA, WAZIRI MKENDA AZUNGUMZA..

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

MAENDELEO YA UJENZI KAMPASI YA BIASHARA YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM- KAGERA

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

Mikutano ya hadhara ya kisiasa Tanzania, yapigwa marufuku

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 26, 2026 -SERIKALI KUTORUHUSU UVUJAJI WA AMANI

ALICHOZUNGUMZA RC CHACHA MBELE ya MJANE na MTOTO wa KAMANDA ABWAO...

What do young Kenyans really want? - World Questions, BBC World Service

UPANUZI WA BARABARA YA NJIA NNE BUKOBA MJINI SERIKALI KUONGEZA BILIONI 4, KUKAMILISHA

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

MWENYEKITI ATUHUMIWA KUIBA NG'OMBE 41 na KUHARIBU NYUMBA - MWANANCHI ASHTAKI KWA WAZIRI MKUU MWIGULU

🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA

🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI

HISTORIA YA MKOA WA KAGERA ULIOPO KASKAZINI MWA TANZANIA, NA MENGI KUHUSU MKOA HUO.

DAMU YA YESU NI UFUNGUO WA KUFUNGUA MALANGO.BY BISHOP FJ KATUNZI

DENIS MPAGAZE: Mfahamu EMILIO MWAI KIBAKI / Bingwa Wa Siasa Aliyeingia IKULU Kwa Vyama Tofauti

