KUMEKUCHA! KITWANA ATAKA VIONGOZI WAACHE OFISINI, WASHUKE KUSIKILIZA WANANCHI

POKEA STORI YA WAZIRI WA TAMISEMIM MHE. IDRISSA KITWANA MUSTAPHA...... Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, Mhe. Idrissa Kitwana Mustapha, amesema kuwa kiongozi bora ni yule anayewafikia wananchi moja kwa moja ili kusikiliza changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi kwa wakati. Mhe. Kitwana ameyasema hayo katika muendelezo wa ziara yake ya kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi katika majimbo mbalimbali ya Unguja na Pemba, ambapo safari hii amekutana na wananchi wa Jimbo la Chaani, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Amesema baadhi ya changamoto zinaweza kupatiwa ufumbuzi katika ngazi ya mkoa na wilaya, huku nyingine zikihitaji kufikishwa katika mamlaka husika. Aidha, amesisitiza kuwa viongozi wote wanapaswa kushuka kwa wananchi mara kwa mara ili kupata uelewa wa moja kwa moja kuhusu mahitaji yao na kuyafanyia kazi. INSERT: KITWANA 1 Katika hatua nyingine, Mhe. Kitwana amesema Rais wa Zanzibar.

🚨 MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AFICHUA  AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42 IRAN YOTE
▶︎

🚨 MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AFICHUA AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42 IRAN YOTE

🔴LIVE: MKUTANO WA HADHARA WA ACT WAZALENDO MUDA HUU
▶︎

🔴LIVE: MKUTANO WA HADHARA WA ACT WAZALENDO MUDA HUU

Mjadala Kuhusu Ubaguzi, Kujengeka kwa Itikadi Kali, na Misimamo Mikali nchini Tanza
▶︎

Mjadala Kuhusu Ubaguzi, Kujengeka kwa Itikadi Kali, na Misimamo Mikali nchini Tanza

OTHMAN MASOUD AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA ATOA TAMKO KWA TUNDU LISSU NA WAFUASI WAKE | KATIBA MPYA
▶︎

OTHMAN MASOUD AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA ATOA TAMKO KWA TUNDU LISSU NA WAFUASI WAKE | KATIBA MPYA

"OTHMAN MASOUD AFUNGUKA MAZITO: 'MARIDHIANO SI YA ACT WALA CCM, NI YA WAZANZIBARI WOTE'"
▶︎

"OTHMAN MASOUD AFUNGUKA MAZITO: 'MARIDHIANO SI YA ACT WALA CCM, NI YA WAZANZIBARI WOTE'"

"ASKARI WAPYA WATENGA MISHAHARA YAO! WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM WAFURIKA FURAHA RUKWA"
▶︎

"ASKARI WAPYA WATENGA MISHAHARA YAO! WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM WAFURIKA FURAHA RUKWA"

🔴 #LIVE: JE, MARIDHIANO YA CCM NA ACT YANAFUNGUA UKURASA MPYA WA SIASA TANZANIA?
▶︎

🔴 #LIVE: JE, MARIDHIANO YA CCM NA ACT YANAFUNGUA UKURASA MPYA WA SIASA TANZANIA?

#OTHMAN MASOUD AENDELEA KUPANGUA HOJA ZA UKOSOAJI MARIDHIANO NA CCM
▶︎

#OTHMAN MASOUD AENDELEA KUPANGUA HOJA ZA UKOSOAJI MARIDHIANO NA CCM

LAZIMA TUSHIRIKIANE NA WENZETU......MHE HEMED
▶︎

LAZIMA TUSHIRIKIANE NA WENZETU......MHE HEMED

WAZIRI NADIR: KAMPUNI ZISIZOKAMILISHA MIRADI YA UMEME KWA WAKATI ZITACHUKULIWA HATUA
▶︎

WAZIRI NADIR: KAMPUNI ZISIZOKAMILISHA MIRADI YA UMEME KWA WAKATI ZITACHUKULIWA HATUA

ALI DANGOTE MUUAJI KATILI wa ARUSHA AUAWA KINYAMA -WANANCHI WAFURIKA MOCHWARI WAKITAKA KUHAKIKISHA
▶︎

ALI DANGOTE MUUAJI KATILI wa ARUSHA AUAWA KINYAMA -WANANCHI WAFURIKA MOCHWARI WAKITAKA KUHAKIKISHA

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.
▶︎

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.

Samia vs The West: The REAL POWER PLAY Behind Tanzania's Protest
▶︎

Samia vs The West: The REAL POWER PLAY Behind Tanzania's Protest

MHE. HEMED AAPISHWA TENA KUWA MAKAMU WA PILI WA RAIS
▶︎

MHE. HEMED AAPISHWA TENA KUWA MAKAMU WA PILI WA RAIS

WAZIRI KAPINGA AWEZESHA MJASIRIAMALI MWENYE ULEMAVU KWA MASHINE YA KISASA
▶︎

WAZIRI KAPINGA AWEZESHA MJASIRIAMALI MWENYE ULEMAVU KWA MASHINE YA KISASA

#TUNAWAJUA KWA MAJINA \\ MAKAMU MWENYEKITI ACT ZANZIBAR
▶︎

#TUNAWAJUA KWA MAJINA \\ MAKAMU MWENYEKITI ACT ZANZIBAR

Aliko Dangote’s $46B Warning to Africa: Industrialize or Remain Left Behind!
▶︎

Aliko Dangote’s $46B Warning to Africa: Industrialize or Remain Left Behind!

LIVE: (ACT WAZALENDO) OMO AWAELEZA WANACHAMA NI UPO MSIMAMO WAKE KWA SASA
▶︎

LIVE: (ACT WAZALENDO) OMO AWAELEZA WANACHAMA NI UPO MSIMAMO WAKE KWA SASA

KANGANI WAMUUNGA MKONO DK. MWINYI
▶︎

KANGANI WAMUUNGA MKONO DK. MWINYI

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera
▶︎

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera