WAZIRI KAPINGA AWEZESHA MJASIRIAMALI MWENYE ULEMAVU KWA MASHINE YA KISASA
KAPINGA AMKABIDHI MLEMAVU MASHINE YA KUSAGIA VIUNGO Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amemkabidhi mfanyabiashara mwenye ulemavu, Bi.Esther Mashaka Msengi, mashine ya kusagia viungo ili kuongeza uzalishaji, kupunguza gharama za biashara na kuboresha kipato chake. Akikabidhi mashine hiyo Julai 13, 2026 katika Viwanja vya Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), amesema aliguswa na changamoto za Esther aliyekuwa akitumia muda na fedha nyingi kusafirisha viungo kwenda kusagwa kabla ya kuvifungasha na kuviuza. Amesema Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi zake kuhakikisha anaimarisha biashara yake, huku akiitaka BRELA kukamilisha usajili wa nembo ya bidhaa zake, TBS kumsaidia kupata ithibati ya ubora na SIDO kuendelea kumjengea uwezo. Aidha, amelishukuru Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania TEMDO kwa kuwezesha upatikanaji wa mashine hiyo na kueleza kuwa hatua hiyo inaunga mkono maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwawezesha wajasiriamali kuongeza tija. Kwa upande wake, Bi. Esther Msengi amesema mashine hiyo itapunguza gharama za uzalishaji na kumwezesha kupanua biashara yake. Mwakilishi wa Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO), Mhandisi. Elisante Mjema, amesema mashine hiyo inaweza kusaga kilo 10 za viungo kwa saa moja na kuongeza uzalishaji hadi kufikia mauzo ya takribani shilingi milioni 1.5 kwa siku endapo kutakuwa na malighafi za kutosha. See less

I have been out there working to ground my family, now I am living in isolation.

SIRI YA OSCA MFUGAJI WA KUKU KIJANA ANAEPATA SH 3,000,000 KILA MWEZI

"Rapist Can't Represent Nigeria" Oshiomole Rejects Tinubu's Nominee

MWANZO MWISHO SAKATA LA HECHE NA PESA ZA TONE TONE | BRENDA AFICHUA UKWELI MCHUNGU, UTASHANGAA!

🔴Live: Wana-Azaki Wanazungumza Juu ya Tamko la Jumuiya ya Madola

CHINA NAE AMEAMUA KUINGIA MZIMA MZIMA SAKATA LA MFEREJI WA HORMUZ | JESHI LA MAREKANI LAWEKA VIZUIZI

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.

Iran attacks Kuwait, Qatar & more as US strikes Iran bridges

Mahakama ya Rufani ya Tanzania kuanza vikao vyake zanzibar

wezi wa mabilioni wapandishwa mahakamani na zaeca.

"OTHMAN MASOUD AFUNGUKA MAZITO: 'MARIDHIANO SI YA ACT WALA CCM, NI YA WAZANZIBARI WOTE'"

#LIVE: WAZIRI KATAMBI AFUNGULIWA KESI NZITO SAKATA LA KUFUNGIA MIKUTANO YA HADHARA, MOTO WAWAKA

This is Arusha Tanzania! That Everyone Is Visiting In 2026

I Went to China to Buy a $5,000 Modular Home — What's the Real Cost?

I Don’t Regret Quitting My Well Paying Dubai Office Job - My Poultry Farm Makes Millions

Ufunguzi wa Warsha ya Mabaharia,Kigoma Tanzania.

Wadau Wasisitiza Utekelezaji wa Maazimio ya Jumuiya ya Madola Juu ya Mkwamo wa Kisiasa Tanzania

Burundi: Agathon Rwasa agiye kurindira amezi 2 ingingo ya sentare ku matati muri CNL|BBC News Gahuza

