DC NDILE AMVULIA KOFIA MKULIMA HUYU WA KILIMO CHA MAHINDI

Mkuu wa wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Mh.Kapenjama Ndile amewataka wakulima wa mahindi kuwa na mtazamo mpya wakuuza mahindi yao yakiwa bado shambani #mahindi #kilimobiashara