Mafunzo Ya Kijeshi Ya Kumkabili NYOKA Uso kwa macho !

Nyoka ni adui na ili umshinde sharti umjue. Nilianza kuwasoma nyoka kwa kina baada ya mama yangu mdogo kuuwawa na nyoka aina ya koboko mwaka 2020. Tangu hapo nyoka alipo nipo. Na sasa naweza kuifundisha jamii jinsi ya kuwakabili nyoka uso kwa macho katika hali ya hatari. Haya ni mafunzo mithili ya mafunzo ya kijeshi. Ukikaa lele mama . Kwisha habari yako.😭 Kumkabili nyoka ni vita kama vita nyingine; sharti utumie akili kuliko nguvu. NB: NYOKA WANAFAA KULINDWA NA SIYO KUUAWAWA 🙏🐍❤️. Itaendelea........Afya Yangu Follow page hii ili kuendelea kujifunza zaidi. Na Share kipindi na wale uwapendao ili kuokoa maisha yao. Ndimi, Aje Farmer Daktari Mkulima [Vasco da Gama wa Bongo 😍] Aje-Farms Mashamba Yanayotembea Chuo Kikuu Cha Mtaani-Kitivo Cha Misukosuko WhatsApp 0743 812 853