KILIMO CHA UFUGAJI SAMAKI (KINYESI CHA NG'OMBE PIA NI CHAKULA KWA SAMAKI)

Kilimo cha samaki kinafaida nyingi kwa mkulima shambani, iwapo utapata mshauri stahiki na uhakikishe unafuata taratibu kwa mazao bora. Christopher Charo kutoka wadi ya Jaribuni kaunti ya Kilifi anavidombwi vitatu vya samaki aina ya Sato, na kila kidimbwi kinasamaki elfu moja.