Muasisi wa Sober House amelezea mafanikio ya kituo hicho
Moja kati ya stori ambayo imechukua nafasi katika siku za hivi karibuni ni kuhusu Mtanzania ambaye ameanzisha nyumba maalumu kwa ajili ya kuwatunza vijana walioathirika na dawa za kulevya maarufu kama Sober House. Ricky ni Mtanzania ambaye aliathiriwa na matumizi ya dawa za kulevya ambapo baada ya kutibiwa ameachana na matumizi ya dawa hizo na kuamua kuanzisha kituo chake cha kutibu na kuwapa ushauri watanzania wengine ambao wameathiriwa na dawa za kulevya kiitwacho South Beach Sober House kilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam kikiwa na matawi sehemu mbalimbali nchini kwa lengo la kuwaokoa vijana wengine ambao walikuwa watumiaji wa dawa hizo za kulevya.

▶︎
PILLI MISSANAH: Alivyotoroka MWANZA kukimbia deni la mkopo hadi kumiliki vituo 5 vya SOBER HOUSE Dar

▶︎
MFUKO WA UKWASI (LIQUID FUND)

▶︎
Alichokisema Pili Misana, Mlezi wa Dogo Mfaume Sober House

▶︎
WANANCHI WAMNG'OA MADARAKANI MWENYEKITI WA MTAA KISA MPIGA DILI "AMEUZA ENEO LA ZAHANATI NA VIWANJA"

▶︎
MAPINGA SOBER HOUSE UKOMBOZI MPYA KWA WARAHIBU

▶︎
TAJIRI WA MOMBASA YAMNYOOKEA MAMILIONI NJE NJE BAADA YA KUTOKA SOBER HOUSE

▶︎
Waathirika wa dawa za kulevya wapewa elimu ya ujasiriamali

▶︎
TANESCO YAFAFANUA UMEME ULIVYOKATIKA NCHI NZIMA "MAENEO MATATU NA KITUO YALIPATA HITILAFU"

▶︎
JAMAA ALIYETUMIA DAWA ZA KULEVYA MIAKA 20, AACHA NA KUFUNGUA KITUO CHAKE

▶︎
MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

▶︎
MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

▶︎
Maendeleo ya Ray C kutoka Sober House Kigamboni

▶︎
Wamiliki Sober House, Wafungukia Kashfa ya Kuchoma Wagonjwa Sindano!

▶︎
Sober Living House (Standards, Levels, and Rules)

▶︎
ZAYN SOBBER HOUSE NI MIREMBE YA JIJI LA ARUSHA YENYE MAZINGIRA SALAMA KWA WARAIBU WA AINA ZOTE ..

▶︎
KIJANA WA ARUSHA AMCHEKESHA WAZIRI ULEGA ANAVYOONGEA LAFUDHI 'KICHUGA' APEWA AJIRA, NACHUBUA VIBAYA

▶︎
Sober House Bagamoyo yahitaji zaidi waathirika wa mihadarati | Alichosema Mkurugenzi

▶︎
MAPINGA SOBER HOUSE

▶︎
WAATHIRIKA WA MADAWA YA KULEVYA WAMEIOMBA SERIKALI KUZIWEZESHA SOBER HOUSE

▶︎
