Wamiliki Sober House, Wafungukia Kashfa ya Kuchoma Wagonjwa Sindano!
Wamiliki Sober House, Wafungukia Kashfa ya Kuchoma Wagonjwa Sindano! WAMILIKI wa nyumba zinazosaidia waathirika kujinusuru na dawa za kulevya nchini maarufu kama Soba house wamejibu tuhuma za kuwachoma vijana sindano pindi wapatapo nafuu. Akiongea na waandishi wa habari leo Jiji Dar es Salaam Katibu wa Umoja wa Soba house nchini, Pili Missanah ambaye ni mmoja wa wamiliki wa vituo hivyo ameeleza kuwa, April 25 mwaka huu katika mjadala wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baadhi ya wabunge walieleza kuhusu tabia chafu za baadhi ya wamiliki wa nyumba hizo kuwachoma sindano za dawa za kulevya baadhi ya waathirika pindi wanapokaribia kupona ili wazazi au walezi waendelee kuchangia fedha kwenye nyumba hizo. Pili ameeleza kuwa lengo la nyumba hizo sio baya bali ni kuwasaidia waathirika wa dawa za kulevya na zinaendeshwa kwa kufuata sheria ambayo Serikali iliweka kupitia Mamlaka ya kudhibiti kupambana na dawa za kulevya na kuweka mwongozo wa kuziendesha nyumba hizo ambao ulizinduliwa na Waziri Mkuu. Aidha, Pili amekanusha vikali tuhuma hizo na kueleza kuwa wanawaomba wabunge waliotoa tuhuma hizo kutoa ushahidi na watakaobainika wachukuliwe hatua na wamiliki hao wapo tayari kutoa ushirikiano, pia wameiomba Serikali kupitia mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya kufanya uchunguzi kuhusiana na tuhuma hizo ambapo ameeleza kuwa hawajapata malalamiko yoyote kutoka kwa wazazi au walezi wa waathirika hao juu ya tuhuma hizo. Ameongeza kuwa, tuhuma hizo hazitawarudisha nyuma bali zimewapa nguvu za kuendelea kupambana na kuwasaidia waathirika hao ili waweze kurudi katika hali yao ya kawaida na kuendelea kujenga taifa. lnstal GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

PILLI MISSANAH: Alivyotoroka MWANZA kukimbia deni la mkopo hadi kumiliki vituo 5 vya SOBER HOUSE Dar

🔴#LIVE:ZUIO MIKUTANO ya VYAMA vya SIASA LAIBUA MJADALA/VYAMA VYAHOJI/NINI KINAFUATA?/KUHOJIWA/KAMATI

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

WAATHIRIKA WA MADAWA YA KULEVYA WAMEIOMBA SERIKALI KUZIWEZESHA SOBER HOUSE

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

Maendeleo ya Ray C kutoka Sober House Kigamboni

Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

🛑LIVE: YANGA KUTANGAZA UBINGWA KESHO/ SIMBA WATUPA TAULO KIAINA/ DIARA GOLIKIPA BORA WA MSIMU

Why are Kenyan Gen Zs still protesting? | The Conversation | Focus on Africa - BBC Africa

#Elimu: Dalili za Mtu aliyeathirika Afya ya Akili kwa Matumizi ya dawa za Kulevya

ZAYN SOBBER HOUSE NI MIREMBE YA JIJI LA ARUSHA YENYE MAZINGIRA SALAMA KWA WARAIBU WA AINA ZOTE ..

WAZIRI MKUU MWIGULU - ''HATUPASWI KUPUUZIA VIASHIRIA VYA UVUNJIFU WA AMANI''....

Jitihada ya kuwasaidia waathirika wa madawa ya kulevya Tanzania

Mahojiano kati ya mkurugenzi Mrc MRC Kigamboni sober house na Dizzim tv PART 2

MSIKILIZE HAPA MBUNGE WA TANDAHIMBA KATANI A. KATANI AKITETEA UHAMIAJI MTWARA

sober house

Zoho’s Sridhar Vembu With Arnab: Flipping the Script on India’s Rise as a Superpower | Nationalism

🔴#LIVE: YANGA WAMLETA FADLU NA AZIZ KI JANGWANI / SIMBA WAMSAKA MSAUZI - KOCHA AFUNGUKA..#krosidongo

DC MTANDA AWASOMBA WAVUTA BANGI WOTE NA KUWAPELEKA SOBA HOUSE

