BLUE COAST NA MIAKA MINNE YA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Imeelezwa kuwa Royal Tour imehamasisha ushindani mzuri kati ya wafanyabiashara wa ndani na wale kutoka nje ya nchi, jambo ambalo limechochea maendeleo, hususan katika sekta ya madini Jeremiah Musa, Meneja wa Kampuni ya Blue Coast mkoani Geita, amesema kampuni hiyo imeajiri zaidi ya wafanyakazi 500, wakiwemo raia wa kigeni, na inatoa huduma katika mikoa ya Geita, Mwanza, na Dar es Salaam. Kampuni hiyo pia imekuwa mstari wa mbele kusaidia huduma za kijamii, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa nyumba za polisi,vyumba vya madarasa, na kusaidia mfuko wa elimu kwa kuchangia zaidi ya shilingi milioni 150. Jeremiah amesema asilimia 30 ya wafanyakazi wa Blue Coast ni wanawake, ambapo baadhi yao wanaendesha magari makubwa ya mafuta. KITUO KINACHO JIHUSISHA NA HABARI MBALIMBALI ZA KIJAMII NA KUELIMISHA UMMA KUHUSU MATUKIO YANAYO JIRI KILA WAKATI HAKIKISHA UNA SUBSCRIBE CHANEL YETU USIPITWE NA TUKIO LOLOTE HAPA NCHINI ( Email: [email protected](+255752268249 / +255785537878)

Ushiriki wa Blue Coast Investment Kwenye Maonyesho ya Madini Geita

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

DAR ES SALAAM DOCUMENTARY _ TANZANIA YA SAMIA | MEENA ALLY | IDRIS SULTAN #film #tanzania

MAKAMU WA RAIS AZITAJA SIFA ZA HAYATI JPM KUWA NI MALEZI BORA YA MAMA SUZANA

KAFARA ZA UCHIMBAJI MADINI VIJANA GEITA WAFUNGUKA BILA UOGA “MAJINI YANASOGEA”

Maonesho ya Madini Geita- Ushiriki wa Kampuni ya Blue Coast Investment Ltd - 10 min TV Prog.

TAJIRI WA DARASA LA SABA MWANZA/ ANAMILIKI ZAIDI YA MALORI 100: Episode 1

The New Face of Nyerere Road Dar Es Salaam in 2026 | new BRT System and 1000+ trees

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

Blue Coast Investment mwarobaini wa usafirishaji mizigo TZ, Afrika

Türkei – USA Highlights | Gruppe D, FIFA WM 2026 | sportstudio

IKULU Tanzania yatoa Taarifa hii Gafla Usiku kuhusu Rais Samia Suluhu Leo

MCHIMBAJI WA DHAHABU LOLIONDO AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUIMARISHA SEKTA YA MADINI

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

DC WA KAHAMA AONGOZA KAMATI YA USALAMA KUTIMUA WANANCHI KWENYE MGODI WA NHUMBI, HAKUTAKA WAANDISHI

CHUO CHA KODI ITA LAKUTANISHA WALIPA KODI NA WADAU KUJADILI MAFANIKIO YA MIAKA 30 YA TRA

LIVE; WAZIIRI WA TAMISEMI ASHUDIA UTIAJI WA SAINI MRADI WA UJENZI WA BARABARA KAHAMA

NAIROBI-DAR ES SALAAM//THE BUS WHICH SERVES CHICKEN ONBOAD.

Schottland – Brasilien Highlights | Gruppe C, FIFA WM 2026 | sportstudio

