WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WANAZUONI KUISAIDIA SEKTA YA MADIN

Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde, amewataka wanazuoni nchini kuwa sehemu ya upatikanaji wa suluhu za changamoto zinazoikabili sekta ya madini ili kusaidia ukuaji wa sekta hiyo na kuongeza manufaa kwa wananchi na Taifa kwa ujumla. Mhe. Mavunde ameyasema hayo leo Juni 9, 2026 jijini Dar es Salaam wakati akifungua Wiki ya 11 ya Ubunifu na Utafiti iliyoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Akizungumza katika hafla hiyo, Waziri Mavunde amesema amefurahishwa na miradi na programu mbalimbali za ubunifu zinazotekelezwa chuoni hapo ambazo zimekuwa zikichangia kutoa ajira kwa wahitimu pamoja na kutatua changamoto zinazojitokeza katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya madini. Aidha, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeweka mkazo katika kuongeza fursa za ajira kwa vijana kupitia ubunifu, tafiti na matumizi ya teknolojia. KITUO KINACHO JIHUSISHA NA HABARI MBALIMBALI ZA KIJAMII NA KUELIMISHA UMMA KUHUSU MATUKIO YANAYO JIRI KILA WAKATI HAKIKISHA UNA SUBSCRIBE CHANEL YETU USIPITWE NA TUKIO LOLOTE HAPA NCHINI ( Email: [email protected](+255752268249 / +255785537878)

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

Building an AI-Ready Ethiopia | Myriam Said, Digital Advisor at the Office of the Prime Minister
▶︎

Building an AI-Ready Ethiopia | Myriam Said, Digital Advisor at the Office of the Prime Minister

KIGALI: RURAGERETSE HAGATI YA #ECOFLEET N'ABASHOFERI BASHYIZE KURI #BLACKLIST BATABAJE P #KAGAME
▶︎

KIGALI: RURAGERETSE HAGATI YA #ECOFLEET N'ABASHOFERI BASHYIZE KURI #BLACKLIST BATABAJE P #KAGAME

SERIKALI INAJIPANGA KUIHAMISHIA DUBAI TANZANIA : WAZIRI WA MADINI, MHE. ANTHONY MAVUNDE.
▶︎

SERIKALI INAJIPANGA KUIHAMISHIA DUBAI TANZANIA : WAZIRI WA MADINI, MHE. ANTHONY MAVUNDE.

SERIKALI YASISITIZA UTEKELEZAJI WA MAPENDEKEZO YA KUWAENDELEZA WACHIMBAJI WADOGO
▶︎

SERIKALI YASISITIZA UTEKELEZAJI WA MAPENDEKEZO YA KUWAENDELEZA WACHIMBAJI WADOGO

From Mega Ambition to Real Infrastructure Delivery | Brook Taye, CEO of Ethiopian Investment Holding
▶︎

From Mega Ambition to Real Infrastructure Delivery | Brook Taye, CEO of Ethiopian Investment Holding

WAZIRI MKUU: UFUGAJI WA KISASA NI JAWABU LA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI
▶︎

WAZIRI MKUU: UFUGAJI WA KISASA NI JAWABU LA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

EPIC GAME 😱 RONALDO & PORTUGAL DESTROY DENMARK IN HUGE WIN
▶︎

EPIC GAME 😱 RONALDO & PORTUGAL DESTROY DENMARK IN HUGE WIN

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA
▶︎

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

Princess Of Boogie Woogie Delights Everyone
▶︎

Princess Of Boogie Woogie Delights Everyone

DC WA KAHAMA AONGOZA KAMATI YA USALAMA KUTIMUA WANANCHI KWENYE MGODI WA NHUMBI, HAKUTAKA WAANDISHI
▶︎

DC WA KAHAMA AONGOZA KAMATI YA USALAMA KUTIMUA WANANCHI KWENYE MGODI WA NHUMBI, HAKUTAKA WAANDISHI

MCHIMBAJI WA DHAHABU LOLIONDO AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUIMARISHA SEKTA YA MADINI
▶︎

MCHIMBAJI WA DHAHABU LOLIONDO AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUIMARISHA SEKTA YA MADINI

MAKAMU WA RAIS AZITAJA SIFA ZA HAYATI JPM KUWA NI MALEZI BORA YA MAMA SUZANA
▶︎

MAKAMU WA RAIS AZITAJA SIFA ZA HAYATI JPM KUWA NI MALEZI BORA YA MAMA SUZANA

Mwanasheria Mkuu CHADEMA amjibu waziri Katambi zuio la Mikutano vyama vya siasa.
▶︎

Mwanasheria Mkuu CHADEMA amjibu waziri Katambi zuio la Mikutano vyama vya siasa.

MTWARA YAFUNGUA FURSA MPYA KATIKA SEKTA YA CHUMVI MKOA WA  MTWARA
▶︎

MTWARA YAFUNGUA FURSA MPYA KATIKA SEKTA YA CHUMVI MKOA WA MTWARA

CHOBWEDO AIKATALIA YANGA KUWA DARAJA LAO LA UBINGWA /AFUNGUKA ISHU YAKE KWENDA SIMBA MSIMU UJOI
▶︎

CHOBWEDO AIKATALIA YANGA KUWA DARAJA LAO LA UBINGWA /AFUNGUKA ISHU YAKE KWENDA SIMBA MSIMU UJOI

Senegal Shocked The World & Destroyed England 😱🔥⚡ ❮ Senegal (3-1) England ❯ | Historic Comeback
▶︎

Senegal Shocked The World & Destroyed England 😱🔥⚡ ❮ Senegal (3-1) England ❯ | Historic Comeback

National Assembly: Before the Minister - Guy Marius attacks Diomaye: "He shouldn't have let Macro...
▶︎

National Assembly: Before the Minister - Guy Marius attacks Diomaye: "He shouldn't have let Macro...

LIVE; WAZIIRI WA TAMISEMI ASHUDIA UTIAJI WA SAINI MRADI WA UJENZI WA BARABARA KAHAMA
▶︎

LIVE; WAZIIRI WA TAMISEMI ASHUDIA UTIAJI WA SAINI MRADI WA UJENZI WA BARABARA KAHAMA

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera
▶︎

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera