VIONGOZI WAPINGA KUFUNGWA KWA ZIWA TANGANYIKA
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa, Mheshimiwa Othman Masoud amepinga hatua ya Serikali kufunga Ziwa Tanganyika. Bwana Masoud amesema mpango huo si wa kitafiti wala kisayansi na itawakosesha wavuvi wengi riziki yao ya kila siku. Badala ametaka Serikali itenge maeneo ya uhifadhi badala ya kulifunga ziwa zima. Serikali ya Tanzania inatarajiwa kufunga ziwa hilo kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia mwezi Mei 15 hadi Agosti 15, mwaka huu lengo likiwa ni kupumzisha ziwa hilo kupata ongezeko la samaki.

▶︎
KISA ZIWA TANGANYIKA, MBUNGE KIGOMA MJINI AWAKA - "KILA KITU MWANZA, UPENDELEO TU"...

▶︎
Aida Kenani ang’aka kufungwa shughuli za uvuvi Ziwa Tanganyi

▶︎
ZIWA TANGANYIKA LINAFUNGWA WAZIRI AFUNGUKA, WATU WALE NYAMA NA MBOGAMBOGA.

▶︎
SAKATA LA KUFUNGWA ZIWA TANGANYIKA, DC ASEMA ''HALIFUNGWI TENA, HAKUNA VURUGU".

▶︎
Sakata la kufungwa kwa ziwa Tanganyika "Wanashindwa kusimamia wao wenyewe, Zambia, Congo na Burundi"

▶︎
Leo #MariaSpaces tunajadili: #KatibaMpya tunayodai na Tanganyika ndani ya Muungano #FreeTunduLissu

▶︎
KAMATI BUNGE YARIDHIA ZIWA TANGANYIKA KUPUMZISHWA MIEZI MITATU

▶︎
ZIWA TANGANGANYIKA kufungwa kufanya shughuli za uvuvi kwa miaka mitatu, NCCR waibuka kutetea wavuvi

▶︎
'Mafala sana! Hawana akili!' Ruto destroys his opponents as he returns to Kenya

▶︎
MBUNGE AIBANA SERIKALI KUHUSU KUFUNGA ZIWA TANGANYIKA.

▶︎
KAULI NZITO YA MBUNGE KUHUSU ZIWA TANGANYIKA AWEKA WAZI JAMBO HILI

▶︎
NAIBU WAZIRI, MBUNGE NKASI WAVUTANA KUHUSU FAIDA, ATHARI ZA KUFUNGA ZIWA TANGANYIKA

▶︎
Serikali yakubali kutofunga Ziwa Tanganyika, uvuvi utaendelea wakati taathimini ikifanyika.

▶︎
MBUNGE GETELE ATIKISA BUNGE ATAKA BOOM LIONDOLEWE "WANAFUNZI HAWASOMI, WANANIDHAMU MBAYA, WANALEWA"

▶︎
"Serikali Itafakari, Mmeshindwa...." Mbunge Aida Kenani awasha moto Bungeni

▶︎
MADIWANI TANGANYIKA WARIDHIA KUFUNGWA ZIWA TANGANYIKA.

▶︎
Iran War & Strait of Hormuz Energy Crisis Reveal Decline of U.S. Empire: Historian Alfred McCoy

▶︎
CCM YAPATA PIGO JINGINE KARATU, CHADEMA YACHEKELEA, AOMBA RADHI, MAUWAJI YA OKTOBA CHANZO

▶︎
Dakika 60 za Aweso, afunguka kinachoendelea Gridi ya Taifa ya Maji, Ziwa Victoria hadi Dodoma

▶︎
