Ujenzi wa Barabara ya Bypass ya Njia nne Kihesa Iringa Waanza, Tsh. Bilioni 41.1 Zatolewa
Katika harakati za kuondoa Changamoto ya msongamano wa Magari ya Mizigo katika Barabara ya Ipogolo kuingia Iringa Mjini kuelekea Dodoma, Serikali imetoa Bilioni 41.162 kutekeleza Ujenzi wa Barabara ya njia Nne ya Mchepuko (Bypass) Kupitia Kihesa mpaka Igumbilo. Habari njema ni kwamba, Ujenzi wa Barabara hiyo uliokuwa tumesimama ukisubiria Pesa, tayari umeanza kutekelezwa katika hatua zote za awali. Mkuu wa wilaya ya Iringa, Kheri James, amefanya ziara ya kukagua mradi wa ujenzi wa barabara ya Iringa bypass Unaotekelezwa na Serikali kwa lengo la kuondoa foleni na kurahisha usafiri wa magari makubwa katika Mji wa Iringa. Barabara hiyo yenye Km 7.3 inajengwa kwa kiwango cha lami, kwa thamani ya shilingi Bilioni 41.162 chini ya Mkandarasi Sinohdro Corporation Ltd ya Uchina na mradi huo utakamilika ndani ya mwaka mmoja. Akizungumza katika ziara hiyo, DC Kheri James ameeleza kuwa kukamilika kwa mradi huo kutatua tatizo la foleni katika Mji wa Iringa, utabadilisha muonekano wa mji na utachochea ukuaji wa shughuli za kiuchumi, kijamii na kibiashara katika Manispaa ya Iringa. Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Focus Digito TV inakupa Maudhui bora kuhusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani. Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments. #FocusDigitoTV .................. Tufuatilie Zaidi kupitia: INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest. Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing We Love You | Tunakupenda Regards Team FocusDigitoTV

Hatua iliyofikiwa Ujenzi wa Barabara ya Mchepuo (Bypass) Iringa Kilomita 7.3 (Kihesa - Igumbilo)

MTENDAJI MKUU TANROADS AELEZA MIKAKATI YA SERIKALI KATIKA UJENZI WA MIUNDOMBINU NA ITV

NI UPOTOSHAJI KUSEMA UJENZI WA SGR UMESIMAMA.

MBUNGE NGAJILO ABAMIZA MEZA: AITAKA SERIKALI KUHARAKISHA BYPASS MLIMA IPOGOLO

WAZIRI MBARAWA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA UJENZI SGR MWANZA - ISAKA

VIONGOZI WAKUMBUSHWA KUTIMIZA WAJIBU WAO | MBUNGE APONGEZA POLISI

UJENZI WA BARABARA KIHESA-IGUMBILO BYPASS KUBORESHA USAFIRISHAJI MKOA WA IRINGA.

Ngajilo Ajinadi, Aeleza Matamanio yake kuifanya Iringa kuwa Jiji Mbele ya Mzee Wasira

Dangerous Pakistani Factory Works FORGING the World’s Largest Industrial Gear | Full Process

The Electric Highway Linking Nairobi to Kigali

Mtendaji Mkuu TANROADS akagua miradi ya TANROADS Iringa

MTAKUWWA WANAPITA KILA KONA JIJINI MWANZA KUINADI KAMPENI HII|JAMII YAASWA KUZINGATIA HAYA

SEKTA YA MAZIWA YAPEWA NGUVU MPYA IRINGA

Dkt. Lwaitama akosoa agizo la Waziri Katambi, Akemea mpasuko na Kutoa Ushauri kwa Taifa.

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

'Hakuna watu wajinga kama Watanzania, Samia tukome ama tukushughulikie!' Wanjala desstroys Samia

MCHOME APEWA KOMBE NA RAIS WA YANGA ALINYANYUA APAGAWA KWA SHANGWE KUBWA, MCHOME AFUNGUKA MAZI

Waziri Mkuu Nisaidie Toka Nimestaafu Sijalipwa Mafao Yangu, Nikienda Wananizungusha tu

LOVE OR POP TANZANIA 🇹🇿 VERSION | S01EP07- PART 01 | WITH GLADNESS KIFALUKA

