YESU KRISTU NI MFALME

MTUNZI: GERALD A. CHAVALLAH MWIMBAJI: EDWIGA UPENDO ORGANIST: EDWIGA UPENDO AUDIO: THE GALAXY PRO VIDEO: THE GALAXY PRO Herini kwa sikukuu ya Bwana wetu Yesu Kristo Mfalme wapendwa. Napenda kuwatakia sherehe njema kwa watu wote, kwa namna ya pekee wale wanaoadhimisha sherehe ya somo, mwombezi na msimamizi wao katika makundi mbali mbali kuanzia ngazi ya Jimbo, Parokia, Parokia teule, Vigango, kwaya na mashirika mengine yote ya kitume. Herini sana kwa sikukuu hii kubwa. Kristo Mfalme AKATAWALE mioyo yetu tukaweze kuishi kwa kufuata neno lake. Amina