MADEREVA MBEYA KWENDA KYELA (MBETUKYE) WAPEWA ONYO.

.Madereva wanaofanya Safari zao katika barabara ya Mbeya-Tukuyu- kyela wamepewa onyo kali kufuatia uwepo wa tabia ya kufaulisha abiria wafikapo stendi ya Tukuyu Mjini kwasababu zisizo za msingi na hatimaye kusababisha usumbufu kwa abiria na kupelekea upotevu wa mizigo na Abiria kulipa nauli mara mbili.Onyo hilo limetolewa na Mkuu wa kitengo cha usalama Barabarani wilayani ya Rungwe Mrakibu wa jeshi la Polisi Felix Kakolanya alipokuwa anazingumza na kituo hiki alipotembelewa ofisini kwake.Kakolanya amesema kumekuwepo na malalamiko kutoka kwa abiria mbalimbali ambao wamekuwa wakikumbana na adha hiyo kufuatia kupanda gari ambazo zinaishia njiani bila kuwakifikisha abiria kituo chao cha mwisho.Ameongeza kuwa changamoto kubwa ipo katika eneo la stendi kuu ya Tukuyu, huku akiwataka madereva kuacha tabia hiyo maramoja kabla hatua za kisheria hazichakuliwa dhidi yao.#KyelaFmDigital#HatuakwahatuaMADEREVA MBETUKYE WAPEWA ONYO

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST
▶︎

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

BREAKING: Waiguru finally dumps Ruto, Gachagua currently celebrating
▶︎

BREAKING: Waiguru finally dumps Ruto, Gachagua currently celebrating

BABA LEVO APINGA KAULI YA MBUNGE WA MBEYA MJINI PATRICK MWALUNENGE
▶︎

BABA LEVO APINGA KAULI YA MBUNGE WA MBEYA MJINI PATRICK MWALUNENGE

Meneja wa Huduma za Taasisi - PPAA, Bw. Paschal Kajuna
▶︎

Meneja wa Huduma za Taasisi - PPAA, Bw. Paschal Kajuna

Mji wa Kyela:Asili ya jina Lake na Neno CHUMA/Muonekano Wake Halisi
▶︎

Mji wa Kyela:Asili ya jina Lake na Neno CHUMA/Muonekano Wake Halisi

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma, Bw. Jumanne Mwankhoo akifungua mafunzo
▶︎

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma, Bw. Jumanne Mwankhoo akifungua mafunzo

Kauli Mpya ya WAZIRI MKUU Yatikisa Wanaopanga Maandamano Nchini!
▶︎

Kauli Mpya ya WAZIRI MKUU Yatikisa Wanaopanga Maandamano Nchini!

Katibu Mtendaji wa PPAA, Bw. James Sando
▶︎

Katibu Mtendaji wa PPAA, Bw. James Sando

Kika, Gen. Muhoozi ayongedde ekinyiga ku Miria Matembe, alagidde addemu akwatibwe bw'ayogera ebyaama
▶︎

Kika, Gen. Muhoozi ayongedde ekinyiga ku Miria Matembe, alagidde addemu akwatibwe bw'ayogera ebyaama

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!
▶︎

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

GACHAGUA THREATENS TO LEAD BOYCOTT ON RUTO-LINKED 17 BUSINESSES, URGES SIFUNA TO JOIN HIM ASAP
▶︎

GACHAGUA THREATENS TO LEAD BOYCOTT ON RUTO-LINKED 17 BUSINESSES, URGES SIFUNA TO JOIN HIM ASAP

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

MANGE KIMAMBI KUWAKATA WANAHARAKATI WA SABASABA 7/7
▶︎

MANGE KIMAMBI KUWAKATA WANAHARAKATI WA SABASABA 7/7

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.
▶︎

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

Ssenyonyi’s closing remarks shakes the House.Unbelievable 😳😳
▶︎

Ssenyonyi’s closing remarks shakes the House.Unbelievable 😳😳

"Soon u won't be a president's Son.." Akena Obote wonders why a 27th in hierarchy control everything
▶︎

"Soon u won't be a president's Son.." Akena Obote wonders why a 27th in hierarchy control everything

JAMES MBOWE ATEMA CHECHE KUHUSU WAZIRI KATAMBI KUFUNGIA MIKUTANO YA KISIASA
▶︎

JAMES MBOWE ATEMA CHECHE KUHUSU WAZIRI KATAMBI KUFUNGIA MIKUTANO YA KISIASA

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera
▶︎

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥
▶︎

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

BADO SIKU CHACHE WANANCHI TULIPE KODI YA PANGO LA ARDHI
▶︎

BADO SIKU CHACHE WANANCHI TULIPE KODI YA PANGO LA ARDHI