Karibu Ufahamu Maana Halisi Ya " Utatu Mtakatifu "
Tumsifu Yesu Kristo ... Milele Amina Karibu Katika Channel Yetu Yenye Lengo La Uinjilishaji Msimuliaji : Rose James Kipeleka Muandaaji : Nemes Victor Michael Tufuatilie Hapa Zaidi Soma Zaidi Pia _ https://yesuanaokoa.blogspot.com/2019... MUNGU MMOJA, NAFSI TATU (UTATU MTAKATIFU WA MUNGU) Nafsi ni nini? Kabla ya kuendelea kumjua Mungu katika nafasi tatu anazochukua yaani nafsi tatu ambazo ni Mungu Baba, Mungu mwana na Roho Mtakatifu, hebu tuangalie nini maana ya nafsi? Kwa lugha ya kigeni, neno nafsi linajulikana kama “soul’ wakati neno roho linajulikana kama “spirit”. Mungu ni Roho na wakati huo huo ni Nafsi tatu ndani ya Roho moja. Tofauti na mwanadamu ambaye ana roho, nafsi na mwili, Mungu hana mwili wa nyama na damu kama hii tuliyonayo sisi wanadamu au viumbe wengine mfano wanyama. Nafsi ni hisia au matamanio yanayoongoza matendo au tabia za mwili. Kwa maana nyingine, nafsi ni hisia au matamanio yanayoamua ubinadamu wa mtu. Nafsi za wanadamu zinaishi kwa kufuata matamanio ya vitu vionekanavyo kwa macho hapa duniani. Na ndio sababu mwanadamu anayeishi kwa kufuata tamaa za nafsi yake kamwe hawezi kumpendeza Mungu. Hata hivyo, roho ya mwanadamu inaishi kumpendeza Mungu ikishindana na nafsi. Hadi pale mwanadamu anapopokea neema ya kuongozwa na Roho Mtakatifu ndipo roho yake itaweza kuishinda nafsi na hivyo kuisha maisha ya kumpendeza Mungu. Kwa hiyo, matendo ya Mungu yamegawanyika katika makundi makuu matatu ambayo yanatufanya tumuone Mungu mmoja ndani ya nafsi tatu. Matendo hayo ndiyo tabia za Mungu. Hebu tuangalie tabia au matendo hayo ya Mungu katika nafsi tatu.

FUNDISHO LA UTATU MTAKATIFU KATIKA BIBLIA.

ISHARA 11 ZA MTU ALIYE NA ROHO MTAKATIFU HALISI

EL ROI — Mungu Anayekuona | Mafundisho na Maombi | Mwanzo 16

God Says:"MY CHILD, I NEED TO SEE YOU URGENTLY!"/God Message Now/God Message

ELIMU YA NYOTA SIRI YA JINA LINALOANZA NA HERUFI HIZI NA KITU GAN WAFANYE HILI WAPATA MAFANAKIO

UTATU MTAKATIFU NI NINI? | HAKUNA MIUNGU WATATU | With Pastor Daudi Kaisi

Relaxing Bird Sounds & Peaceful Piano Music 💚 Calm Your Nervous System

MCH. NDACHA AMTOLEA UVIVU DANIEL MWANKEMWA; FUNDISHO LA UTATU MTAKATIFU NI FUNDISHO LA SHETANI

#Mix: Mkusanyiko Nyimbo Katoliki za Shukrani | 1 Hour 30 Minutes | Non-Stop

Buying Goats From Farmers | 3-Wheeled Truck Packed Full for Village Market

JOSEPH & ASENATH — The UNTOLD Story of JOSEPH'S WIFE

FUNDISHO LA MUNGU MMOJA KATIKA NAFSI TATU ZA MILELE NI SAHIHI!?

DALILI 10 ZINAZO ONYESHA ROHO MTAKATIFU ANAISHI NDANI YAKO

God Says:"DON’T IGNORE THIS IMPORTANT LETTER I SENT YOU"/God Message Now/God Message

Nyimbo za Roho Mtakatifu(Pentekoste)/Inakuwaje Tunasikia Maneno/Uje Roho(Sekwensia)/Uje Roho uzienee

Filamu ya Yesu kwa kiswahili

2026 Relaxing Piano & Birdsong 🕊️ Calm Mind, Deep Sleep, Stress Relief & Peaceful Nature Ambience

Tamko Rasmi la Mitume na Manabii kuhusu UTATU

1 Yohana 5:7,8 na utatu mtakatifu, pasta wa S.D.A atumia andiko hili kutetea hoja ya Utatu Mtakatifu

