FUNDISHO LA MUNGU MMOJA KATIKA NAFSI TATU ZA MILELE NI SAHIHI!?
Waamini tutambue kuwa ili kuingia katika ufalme wa Mungu ni wajibu wetu kumtafuta Mungu kwa toba na wongofu wa ndani maana yeye anapatikana. Yupo kwa ajili yetu na kwa nafsi inayomtafuta kwa unyenyekevu. Lakini ni Mungu hasa anayewatafuta watu wake. Kumbe, kumtafuta Mungu ni kujiweka katika hali ya kuwa tayari kupatikana pale ambapo Mungu anatutafuta. ~-~~-~~~-~~-~ Please watch: "(3731) AMINI TU - Betheli SDA Choir Saba Saba Tarime " • AMINI TU - Betheli SDA Choir Saba Saba Tarime ~-~~-~~~-~~-~
